Quemu
JF-Expert Member
- Jun 27, 2007
- 984
- 127
Kwenye jamii zetu za kibantu, NI MARUFUKU! ...binafsi sithubutu kumwita mw'mke kwa majina hayo mbele ya 'mywife' wangu, na wala yeye hathubutu kutamka hayo kwa mw'ume mwingine nikayasikia, kwani inaleta tafsiri tofauti
Thubuutuuu...achana na hayo maneno matamu matamu, ukitaka kupata joto la jiwe thubutu kumwambia mw'mke mwingine "sweet dreams." Yaani hiyo kasheshe yake.... Hawa maiwaifu wetu bana....