WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Maneno kama mpenzi, asali wa moyo, sweetheart ni maneno yatumiwapo mara kwa mara baina ya watu.Siyo ajabu hata kidogo kusikia marafiki wakiitana "mpenzi".... hasa marafiki wa kike ni kawaida sana.Wazazi nao huweza kuita watoto wao hasa wale wadogo kabisa "sweetie", "darling" n.k.na mara nyingi akina mama ndio hupenda sana kuwadekeza watoto wao wa umri wowote kwa neno lolote lenye kuashiria upendo.
Je kwenye mazingira yasiyo ya nyumbani, ni nani anapaswa kuita mwingine kwa majina hayo na jamii inatafsiri vipi?
Sema usikike ndugu yangu.
Je kwenye mazingira yasiyo ya nyumbani, ni nani anapaswa kuita mwingine kwa majina hayo na jamii inatafsiri vipi?
Sema usikike ndugu yangu.