The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,873
Fani yangu ni ujenzi..najenga sana na nawajengea watu nyumba zao..
Nyumba haijengwi tu kwa mabati na matofali.. Kupandisha nyumba tu siyo kazi kubwa sana..complications zipo kwenye finishing
sasa finishing
umeambiwa tunamjengea jlo
au mfalme wa saudia arabia???????
mafundi wezi na wa gharama kama wewe siwataki
wapo mafundi wa bei poa.....
mambo ya tiles na gypsum hayo ni option
mimi nazungumzia nyumba standard ya kuishi mtu
vitu vingine wataweka wenyewe