The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Like......
Si umeona hapo dada uliposema "mna maamuzi"?Yeahhh, kwenye kutoa ndio tuna maamuzi.
@AshaDii. . . .Naaah, watu watachakachua kama NEC.
Ok, una high standards lol
Nimechoka lalia mpira wa kuzuia mkojo
Lol! Nilisema "Hypothetically" but you took it "Literally"Hahahaha, haya bana.
Kuhusu kuwa gay, mi naona poa tu kama huyo mtu hafanyi kazi ya kushushia wenzake kujiamini.Though wapo wengine kujiamini tu kwa mwenzake kunatosha kumvunja yeye.
Mimi na member wengine wote. . . .isipokua wale wanaojigongea kwa ID zao nyingine. Tunachangia, mtu akipenda michango yetu ndio tunapokea.Nilitaka tu unipe jibu lolote, yani unavyoona wewe, unadhani mi "likes" unayopewa ni kwa standards zile zile unazo wahold wenzako?
BTW ulisema nisiseme "mna" na wakati hapo juu umesema "Hatuamui"
Do you mind me asking hamuamui wewe na nani?
Lol! Ok.Mimi na member wengine wote. . . .isipokua wale wanaojigongea kwa ID zao nyingine. Tunachangia, mtu akipenda michango yetu ndio tunapokea.
Ila kwenye kutoa kila mtu anajitegemea.
Hahahaha, kuhusu vigezo nnavyotumia kama vinatumika kwangu pia, ummmmm I would like to think so.Ila sina uhakika.
I didn't take it literally. . . . nimetumia context ile ile uliyotumia wewe kukujibu.Kwamba sioni tatizo huyo mtu (whatever you call him ) akiwa mbinafsi iwapo hashushii wengine kujiamini kwa makusudi.Lol! Nilisema "Hypothetically" but you took it "Literally"
Neways, ni msemo tu kuwa unajipenda sana, or something alongside those lines...
Ni kausemi tu ndo maana nikasema just to be on the safe side...
Kwamba i dispute that stuff as selfish or whatever...lol
Wacha utundu...Du!! RR hii kali kweli...hahah
Aisee kumbe...!!
Mchungaji mkesha wa mwaka mpya nitakuwa Juba kufungua kanisa jipyaLikes to all! My Xmas prize
Nigongee LIKE basi. . . .
I heard you're somewhere around Maldives....lolAisee kumbe...!!
Mbona nimeishakupa sana au wataka tena...afu huwa hutoi
ngoja nikupeperushie ndege wako