Sidhani kama anamzidi Mungai kwa kuharibu!
Hawa wote ni mafisadi ,wote wanafanana kwa ukihiyo ingawa mmoja ni profesa njaa!!
Sidhani kama anamzidi Mungai kwa kuharibu!
Mwandishi wa makala ile kawa straight. Shida ni shule yako ndogo na uelewa mdogo pia.Tushike lipi?mara kaoa nyumba moja na JK.MARA ALILIA SANA WAKATI WA MSIBA WA DR.OMAR ina maana alilia kuwa refarii wake kafariki,hapo hapo unauliza nani anambeba Professor Kapuya?mara anaonekana sana Mlingotini,jee huko Mlingotini ndio kuna mbeba?
nadhani nyinyi na huyu Mwandishi aliyeandika huko Mwanahalisi wote mnazua tu.Mara alimconvince JK kwenye Kampeni,mara Uprofessor na dini yake.vyote mnaongea ni pumba tupu.
Kanda2 wasomi wa aina ya kapuya ndio wametufikisha hapa tulipo. Nahisi ni kati ya wasomi waliobebwa tu politically na ukisoma cv yake lazima ukute anasema alikuwa fulani fulani katika chama cha mafisadi Tanzania. Hii nadhani ndio imemfikisha hapa. Na aina hii ya wasomi ndio wameiweka pabaya nchi hii.dada haitwi kapuya ni professor kapuya.mwandishi mzima unashindwa kuweka hiyo title?
simba,professor kapuya na malima hawajafeli.nenda jimboni kwa professor watu wake ndio watakwambia kama amefeli au laa,hizi hapa ni propaganda na uchaguzi.mwandishi mwenzio aliyeandika ameshindwa kufikisha ujumbe,
mara anamtaja dr.omar na kilio cha kapuya ina maana dr.omar ndio alikuwa refarii wake?kama alilia sana kwa refarii wake kufariki mbona anapeta?refarii wake ni elimu yake.nawe kasome uwe professional,vinginevyo utaendelea kuwa kanjanja tu.
Kanda2 wasomi wa aina ya kapuya ndio wametufikisha hapa tulipo. Nahisi ni kati ya wasomi waliobebwa tu politically na ukisoma cv yake lazima ukute anasema alikuwa fulani fulani katika chama cha mafisadi Tanzania. Hii nadhani ndio imemfikisha hapa. Na aina hii ya wasomi ndio wameiweka pabaya nchi hii.
Soma vizuri rafiki yangu - hakuna mahala wachangiaji wamesema Prof Kapuya kafel ubunge. Kinachosemwa hapa ni kwamba kafeli uwaziri. Inawezekana kafanya vizuri jimboni mwake, lakini nahisi hiyo ni kutokana na kuwa waziri, tena katika wizara nono -- kama vile hii ya usitawi wa jamii ambayo mifuko yote ya hifadhi za jamiui (pension funds) iko chini yake. Tusisahau kwamba ile kashfa ya magodown ya Ubungo ilifanyika wakati yeye ndiyo waziri wa wizara hiyo.
Mimi nafikiri angekuwa ni mbunge tu bila ya uwaziri, asingeweza kufanya chochote jimboni kwake.
Nasikia huyu ni profesa wa Botany! Wapi na wapi katika kuendesha siasa?
Inasemekana pia kule Mlingotini ndyo maskani kwake kila wikiendi.
lini wana tabora walikuteua kwa kazi hio?kapuya analindwa na wana Tabora
ametajwa pia kwenye mabasi ya mwendokasi , akishirikiana na Kisena , Idd Simba , Masaburi na mwingine namhifadhi kwa sasa , ni mtu anayejipigia hela za nchi hii kimya kimya , wanasema kwenye kuhonga akina dada hana hiyana , kumpa mtu nyumba au benz ni kitu kidogo sanaSoma vizuri rafiki yangu - hakuna mahala wachangiaji wamesema Prof Kapuya kafel ubunge. Kinachosemwa hapa ni kwamba kafeli uwaziri. Inawezekana kafanya vizuri jimboni mwake, lakini nahisi hiyo ni kutokana na kuwa waziri, tena katika wizara nono -- kama vile hii ya usitawi wa jamii ambayo mifuko yote ya hifadhi za jamiui (pension funds) iko chini yake. Tusisahau kwamba ile kashfa ya magodown ya Ubungo ilifanyika wakati yeye ndiyo waziri wa wizara hiyo.
Mimi nafikiri angekuwa ni mbunge tu bila ya uwaziri, asingeweza kufanya chochote jimboni kwake.
Kwa umri huo kwani aliruka stageametajwa pia kwenye mabasi ya mwendokasi , akishirikiana na Kisena , Idd Simba , Masaburi na mwingine namhifadhi kwa sasa , ni mtu anayejipigia hela za nchi hii kimya kimya , wanasema kwenye kuhonga akina dada hana hiyana , kumpa mtu nyumba au benz ni kitu kidogo sana
kwetu Tandika Mwembeyanga inasemekana ng'ombe hazeeki maini .