Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
Mie sisalimiwi eeh?.....Afu mbona umesalimia wakaka/wababa/wababu peke yao?......sheria za jf si zinakataza ubaguzi wa kijinsia?.....haya upesi nisalimie kabla sijareport abuse!.
Wewe kinachokuuma ni nini?
nimeanza kukumiss mwenzio...hebu rudi kwanza kabla hujaenda kulala kwa nitonye
Last edited by a moderator: