Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Wapendwa wanaJF, poleni na shughuli na Valentine. Naomba mnijuze mhusika wa meli iliyokamatwa ikiwa na shehena ya samaki wetu waliokuwa wanaibwa kila mwaka tangu tupate uhuru.
Je, nani anahusika?
Kesi imefikia wapi?
Ubalozi wa waliokutwa melini umetoa tamko gani?
Naomba kusaidiwa ndg. zangu.
Je, nani anahusika?
Kesi imefikia wapi?
Ubalozi wa waliokutwa melini umetoa tamko gani?
Naomba kusaidiwa ndg. zangu.