Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,179
- 3,539
Kama kuna mtu anafahamu jinsi ya hack....na kutrack mobile number anijulishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtambo wake full na software ni $2 mill. Una hack,unasikiliza na kerecord in/out going calls na sms. Au ipo ambayo unaistall ndani ya simu unayotaka kuhack bila mwenye nayo kujua,then unatumiwa email yenye atachments za sms na Incoming/outgoing call.myenye simu awezi jua nini kinaendelea
Kama kuna mtu anafahamu jinsi ya hack....na kutrack mobile number anijulishe[/QU DOWNLOAD PROGRAM HII spybubble itakusaidia
Habari Mkuu?Kama kuna mtu anafahamu jinsi ya hack....na kutrack mobile number anijulishe
Unahitaji kufanya hivyo mkuu?Habari Mkuu?
Ulifahamu kutrack mobile number?
Ndiyo mkuu,Jana nilipitiwa na usingizi aise.Nisaidie.Unahitaji kufanya hivyo mkuu?
Njoo pm tuongee mkuuNdiyo mkuu,Jana nilipitiwa na usingizi aise.Nisaidie.
It as depend kama nimtu wako wakaribu siombaya ila kama unamashaka nae hakuna haja ya kuulizana simu itaongea.Ila tusisahau muhusika akijua kuwa kahakiwa anaweza kukufunga kama akienda kwenye sheria
Mkuu, kuna member aliniuzia hiyo program. yupo humu jf. Tafuta thread yake.jaman nipen maelekezo na mimi kuna demu wangu nataka kumu hack maana cku hizi kabadilika sio kama yule wa zaman
kweli aisee. kama una presha roho inaweza kutengana na mwili.Pia unapaswa uwe na kifua hasa maana unaweza kuta siri za ajabuajabu
duh nipe link au jina analotumia humuMkuu, kuna member aliniuzia hiyo program. yupo humu jf. Tafuta thread yake.