Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,184
- 259
Ndugu wana JF,
Mwaka 2006 niliwahi kusikia Mh Rais, JK akitoa hotuba kwa Watanzania akilizunmzia sakata la Richmond. Alieleza kinagaubaga Richmond ni nini, na ni kwa nini walishindwa kuzalisha umeme waliotarajiwa kuuzalisha, alitoa hotuba ndefu kwelikweli kuhusu Richmond,
Sasa kwa yeyote amabeye aliisikia na pengine anayo, au pia anaweza kututafutia hotuba hii naomba atupatie aiweke pa jamvini ili iweze kujadiliwa.
Hotuba hii kwa kipindi sikuwahi kuisikia ikijadiliwa au kuhojiwa mahali popote, kwani Mh Raisi alitamka maneno ya kuihalalisha Richmond na kwa ushahidi huu unaonyesha kivuli cha mzimu wa Richmond na hatimaye Dowans kuwa ni nani aliyenyuma ya hili sakata, na je kama unampa uhalali wa kukwepa kuhusika na sakata hili!!!
nawasilisha
Mwaka 2006 niliwahi kusikia Mh Rais, JK akitoa hotuba kwa Watanzania akilizunmzia sakata la Richmond. Alieleza kinagaubaga Richmond ni nini, na ni kwa nini walishindwa kuzalisha umeme waliotarajiwa kuuzalisha, alitoa hotuba ndefu kwelikweli kuhusu Richmond,
Sasa kwa yeyote amabeye aliisikia na pengine anayo, au pia anaweza kututafutia hotuba hii naomba atupatie aiweke pa jamvini ili iweze kujadiliwa.
Hotuba hii kwa kipindi sikuwahi kuisikia ikijadiliwa au kuhojiwa mahali popote, kwani Mh Raisi alitamka maneno ya kuihalalisha Richmond na kwa ushahidi huu unaonyesha kivuli cha mzimu wa Richmond na hatimaye Dowans kuwa ni nani aliyenyuma ya hili sakata, na je kama unampa uhalali wa kukwepa kuhusika na sakata hili!!!
nawasilisha