Mkuu JK mlikutana wapi akakuambia kwamba yuko kwenye wakati mgumu na kisha kukuomba msaada??Habari zilizopo ni kwamba jk yupo kwenye wakati mgumu sana akifikiria ni nani hashwa anaweza kuwa mbadala wa Pinda.Maoni na mawazo yetu ni muhimu.
Habari zilizopo ni kwamba jk yupo kwenye wakati mgumu sana akifikiria ni nani hashwa anaweza kuwa mbadala wa Pinda.Maoni na mawazo yetu ni muhimu.
Mkuu JK mlikutana wapi akakuambia kwamba yuko kwenye wakati mgumu na kisha kukuomba msaada??
Mkuu, mimi pendekezo langu ni wewe.habari toka vyanzo nyeti vilivyo karibu na Ikulu.Toa mapendekezo yako uenda yakafanyiwa kazi na sio baada ya jk kuteua ndio uanze kulalamika.,nafas ni yako
Edward N. Lowasa (Laigwenan). Heshima ya CCM itarudi upya na kwa kasi kubwa.