<br />chukua kidumu kapange foleni ya mafuta wewe acha kutuzingua zingua - Rais wetu sisi tunamjua.
<br />
mkuu umenena, mimi mpaka saa hii naamini rais ni.......
<br />chukua kidumu kapange foleni ya mafuta wewe acha kutuzingua zingua - Rais wetu sisi tunamjua.
Prezda-Judge Warioba
Nishat Madini-Magufuli
Mambo ya ndani-Slaa
Waziri Mkuu-Mnyika
Viwanda Biashara-Mbowe
Spika-Sitta
Utawala bora-Kilango
<br /> <br / jieleze vizuri hao toa majina ya wapinzani na tabia zao za ubinafs,udini, ukabila, uropokaji nk.NA WW UNAMPENDEKEZA NANI TK CHAMA CHAKO CHA MAGAMBA?Endapo tunataka kufanya mabadiliko inatubidi tuwe makini tusije fanya mabadiliko ya kumuweka kiongozi atakaye kuwa kioja, hivyo inatakiwa tuwe makini kwani upande wetu wa upinzani tunaudhaifu ya wagombea wetu tuwe makini tuwachunguze, kwa makini tusije pata Rais mropokaji, mwenye maamuzi ya jazba, hana busara, hekima, mbinafsi, mdini na si mzalendo Nawaomba wanajf katika kujadili hili tusisukumwe na utashi wa udini, ukabila na ukanda
<br />Unamtaka Rais atakayetoka upinzani au atakaye toka kwa Mwenyenzi Mungu??
Endapo tunataka kufanya mabadiliko inatubidi tuwe makini tusije fanya mabadiliko ya kumuweka kiongozi atakaye kuwa kioja, hivyo inatakiwa tuwe makini kwani upande wetu wa upinzani tunaudhaifu ya wagombea wetu tuwe makini tuwachunguze, kwa makini tusije pata Rais mropokaji, mwenye maamuzi ya jazba, hana busara, hekima, mbinafsi, mdini na si mzalendo Nawaomba wanajf katika kujadili hili tusisukumwe na utashi wa udini, ukabila na ukanda
<br />Endapo tunataka kufanya mabadiliko inatubidi tuwe makini tusije fanya mabadiliko ya kumuweka kiongozi atakaye kuwa kioja, hivyo inatakiwa tuwe makini kwani upande wetu wa upinzani tunaudhaifu ya wagombea wetu tuwe makini tuwachunguze, kwa makini tusije pata Rais mropokaji, mwenye maamuzi ya jazba, hana busara, hekima, mbinafsi, mdini na si mzalendo Nawaomba wanajf katika kujadili hili tusisukumwe na utashi wa udini, ukabila na ukanda