Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
Ndugu wana jf naomba kuuliza swali ni yupi anafaa zaidi kuchanguliwa kuwa mbunge yule mwenye uwezo mkubwa wa kuibana serikali itimize wajibu wake kwa raia huku akiwa na uwezo mdogo sana wa kuwapigia magoti mawaziri wa serikali kuomba maendeleo kwa ajili ya jimbo la uchaguzi analotoka; au yule mwenye uwezo mdogo wa kiuibana serikali itimize wajibu wake kwa raia lakini mwenye uwezo mkubwa sana wa kuwaomba na mawaziri wa serikali na kufanikiwa kupata barabara, maji, shule, hospiatali n.k kwa ajili ya jimbo la uchaguzi analotoka?