Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Hili swali nimejiuliza siku nyingi sana ingawa soln yake ninayo kuna jamaa yangu jana mchana alikuwa amevaa kofia nikamuuliza vipi kunani
umevaa kofia leo akadai ntakwambia baada ya watu kupungua akanionyesha sehemu yakati kuna mtu kama amempitishia kiwembe alafu kimeweka
alama ya l kakwangua kabisa nikamwambia niniakadai alikuwa usingizini akaota xgfirend wake wakiwa sehemu wanakula wakati wakati wanaondoka
akaanza kumwambia aleo ulalai kwa mkeo unalala kwangu akamwambia m nimeoa siweziz kwanza hapa kula tu watu wakiniona shida nimekuheshimu
yule mwanamke akamjibu utaniona..akapanda gari akaenda hme alipofika hme akamkuta mkewe anasali mara ndoto ikaisha akashtuka ..asbh anaamka
kwenda kazizni mama ameshatayarisha chai na mandondo he akamuuliza kulikoni mbona una kipara ...nimemshauri aende kuombewa kwa msaada zaidi
leo nauliza je na wewe ushapewa kipara na ninani anawapa vipara wenzao usiku jamani??
umevaa kofia leo akadai ntakwambia baada ya watu kupungua akanionyesha sehemu yakati kuna mtu kama amempitishia kiwembe alafu kimeweka
alama ya l kakwangua kabisa nikamwambia niniakadai alikuwa usingizini akaota xgfirend wake wakiwa sehemu wanakula wakati wakati wanaondoka
akaanza kumwambia aleo ulalai kwa mkeo unalala kwangu akamwambia m nimeoa siweziz kwanza hapa kula tu watu wakiniona shida nimekuheshimu
yule mwanamke akamjibu utaniona..akapanda gari akaenda hme alipofika hme akamkuta mkewe anasali mara ndoto ikaisha akashtuka ..asbh anaamka
kwenda kazizni mama ameshatayarisha chai na mandondo he akamuuliza kulikoni mbona una kipara ...nimemshauri aende kuombewa kwa msaada zaidi
leo nauliza je na wewe ushapewa kipara na ninani anawapa vipara wenzao usiku jamani??