Ooya shwalii kwa mtazamo wangu nafikiri ni Dar young africa kwani sehemu nyingi nilizopita, ukanda wa ziwa, juu kusini kuna wakijani lukuki ukimake comparison na wekundi, dat iz
Tehtehteh Ndugu yangu naona unafananisha Vibanda vya CCM na Yanga sasa tehtehteh uwe ukipita unashuka labda macho mabovu nakutizama tofauti.... na Safarihii (Y)Wanga wote wataliwa na Simba.