Wakuu,
Naomba kama kuna mwenye nakala ya hukumu za mashauri yafuatayo;
1. Shauri la Uchaguzi Igunga
2. Shauri la Uchaguzi Sumbawanga Mjini
3. Shauri baina ya Serikali na Walimu (hili la mgomo wa juzi)
4. Shauri baina ya Serikali na TUCTA (Mgomo wa 2008 nadhani)
5. Shauri baina ya serikali na Madaktari (mgomo)
Asanteni
Naomba kama kuna mwenye nakala ya hukumu za mashauri yafuatayo;
1. Shauri la Uchaguzi Igunga
2. Shauri la Uchaguzi Sumbawanga Mjini
3. Shauri baina ya Serikali na Walimu (hili la mgomo wa juzi)
4. Shauri baina ya Serikali na TUCTA (Mgomo wa 2008 nadhani)
5. Shauri baina ya serikali na Madaktari (mgomo)
Asanteni