Aaaah jamani ni swali la msingi sana kwasababu ye ni Mtanzania na ana haki ya kuwaulizia wapigania uhuru na haki tanzania Hata mimi naomba kuuliza same Question,, na Kama Ametekwa tujuzeni tukamtoe
hana lolote mnafiki mkubwa alikuja kusafisha baadhi ya watu keshafanya kazi yake hutamsikia tena.