Kati ya MASIKINI (wa mali sio akili) na TAJIRI
Masikini anafuraha nadhani kuliko tajiri kwa mtazamo wangu
kila mtu (masikini au tajiri) anafuraha kwa viwango tofauti tofauti...Kati ya MASIKINI (wa mali sio akili) na TAJIRI
Kati ya MASIKINI (wa mali sio akili) na TAJIRI
kila mtu (masikini au tajiri) anafuraha kwa viwango tofauti tofauti...
Pia inategemea kwa mfano utajiri ameupataje! Kama aliupata utajiri kwa kudhulumu basi furaha haipo tena bali ni woga na wasiwasi wa kulipiziwa kisasi!
Kama ni umasikini wa tangu kuzaliwa na mtu kama huyo hana namna yeyote ya kujikomboa basi hakuna shida mtu kama huyo ataishi kwa 'matumani' tena kwa amani.
Kama umasikini umetokana na kufilisika utajiri aliokuwa nao basi mtu kama huyo kwake ni huzuni daima!
Have fun!
Mimi naungana na Kaizer, ili tuweze kuijadili vizuri hii hoja hatuna budi kuwa na maana nzuri ya hizi terms mbili MASIKINI na TAJIRI, kwa sababu watu wengi bado hatujui masikini ni nani na tajiri ni nani.hoja pana sana hii mpwa...masikini ni nani na tajiri ni nani?
Naniliu ndio mkao gani huo sasa?
Huu mkao unaitwa pauka pakawa vp umeupenda?
Naniliu!!!!Avatar hiyo! Am counting 8.........7............6...........
Mmmh hiyo pauka pakawa inawachanganya watu, inabidi ubadili huo mkao maana Chrispin kaanza kuhesabu kuna kitu anataka kufanya. Tusubiri tuone atakapofikisha....1........mweee.....sijui anataka kufanya nini!!!!!!Huu mkao unaitwa pauka pakawa vp umeupenda?
nabadilisha msacha tirima
Tunasubiri tuone huo Msacha tirima ulivyo!Nabadilisha msacha tirima
Mmmh hiyo pauka pakawa inawachanganya watu, inabidi ubadili huo mkao maana Chrispin kaanza kuhesabu kuna kitu anataka kufanya. Tusubiri tuone atakapofikisha....1........mweee.....sijui anataka kufanya nini!!!!!!
Edited tayari.