Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Nilisikitishwa sana kuona unafiki uliovuka mipaka wa wabunge wa chama cha mapinduzi hususani kwenye uchaguzi wa Spika jana.
Kila mtu anafahamu mchezo uliochezwa na mafisadi kumwingiza Chenge dakika za majeruhi ili kuvuruga. na kweli akafanikiwa kuvuruga. matumaini ya watanzania kumwona tena yule mtetezi wa wanyonge aliyerejesha hadhi ya bunge mhe.Samuel Sitta ikadidimizwa na kile kilichoitwa usawa wa kijinsia.
Eti kamati kuu ya ccm ikaacha kuangalia uwezo wa mTu na vitu muhimu kama taaluma, wakaangalia kigezo kimoja tu kiitwacho ujinsia.
huu ni UBAGUZI. Kumchagua mtu kwa ajili tu ya ujinsia wake ni unyanyasaji wa kijinsia kwa yule aliyeachwa kwa ajili tu ya jinsia yake.
lakini nikategemea wabunge wachache wa ccm tuliowaamini kama Dr.Mwakyembe, na hata Sitta mwnyewe wangeleta mageuzi ya demokrasia nchini kwa kupinga udhalimu wa kamati kuu ya ccm kwa kutompa kura huyo aliyedhulumu haki ya wengine.
Lakini cha ajabu wakampa kura karibu wote ikimaanisha kuwa hata wale tulioowaaamini. hata Sitta? hata Mwakyembe nae?? kumbe ccm hakuna kundi la wapambanaji wala mafisadi. kuna kundi moja maarufu liitwalo wasanii. wanaotumia uwezo wao kucheza na akili za watanzania.
ama kweli ng"ombe mwenye michango huzaa ndama mwenye michango. Wabunge "wapambanaji wa ccm" kura zenu ziko wapi?? ni nani aliyewaloga??
Kila mtu anafahamu mchezo uliochezwa na mafisadi kumwingiza Chenge dakika za majeruhi ili kuvuruga. na kweli akafanikiwa kuvuruga. matumaini ya watanzania kumwona tena yule mtetezi wa wanyonge aliyerejesha hadhi ya bunge mhe.Samuel Sitta ikadidimizwa na kile kilichoitwa usawa wa kijinsia.
Eti kamati kuu ya ccm ikaacha kuangalia uwezo wa mTu na vitu muhimu kama taaluma, wakaangalia kigezo kimoja tu kiitwacho ujinsia.
huu ni UBAGUZI. Kumchagua mtu kwa ajili tu ya ujinsia wake ni unyanyasaji wa kijinsia kwa yule aliyeachwa kwa ajili tu ya jinsia yake.
lakini nikategemea wabunge wachache wa ccm tuliowaamini kama Dr.Mwakyembe, na hata Sitta mwnyewe wangeleta mageuzi ya demokrasia nchini kwa kupinga udhalimu wa kamati kuu ya ccm kwa kutompa kura huyo aliyedhulumu haki ya wengine.
Lakini cha ajabu wakampa kura karibu wote ikimaanisha kuwa hata wale tulioowaaamini. hata Sitta? hata Mwakyembe nae?? kumbe ccm hakuna kundi la wapambanaji wala mafisadi. kuna kundi moja maarufu liitwalo wasanii. wanaotumia uwezo wao kucheza na akili za watanzania.
ama kweli ng"ombe mwenye michango huzaa ndama mwenye michango. Wabunge "wapambanaji wa ccm" kura zenu ziko wapi?? ni nani aliyewaloga??