nakumbu sana, siku moja wakti niko board seco twacheza mpira nastukia nimevaa mkanda tumboni, kuangalia kumbe kamekatika kati, enzi hizo twacheza fuagemu, palikuwa patam hapo madem kibao.
Mimi mmoja wapo. Zilikuwa hazichelewi kukatika katikati.
Basi ikikatika ndio balaa. Ukivaa itaanza kupanda taratibu mpaka itafika kifuani.
Je mnazikumbuka wana JF
Tukiwa mpirani jamaa mmoja alivua shati na kucheza akiwa na bukta tu mara akajikuta akiwa na kitop/ braa.
unafanya sensa kujua ni wangapi na akina nani waliowahi kuzivaaa? sijapata mantiki ya swali lako japo mimi ni mmojawapo kati ya waliowahi kuzivaa, ni nzuri sana maana zinakamata vizuri vyombo ila tatizo ndio hilo ulilolieleza kugeuka kuwa sidiria.