bora tujue maana inaweza ikala kwako aiseh
si inaweza ishakula kwao na ngo zisizo na management
management hipo bana according to maelezo ya website yao...sema kama kuna mtu kawai kupata atuambie
duh xaxa kimbilio la tuliokosa mkopo n wap xaxa?:angry:
kimbilio lenu.......ni...................mitaani,