Nani amemroga Profesa Palamagamba Kabudi?

A mere family law professor can't tell anything about matters of national concern. You may just imagine....!!!
 
Kiukweli kilichofanya nikaikurupua hii thrwad ni baada ya kumsikiliza leo. Ndipo nkapta kiu yakujua hasa alipopitia huyu gwiji.

Ila sorry wengi hawakujua kama n ya zaman wakaanza kumpa za uso mleta mada.
 
Alipoingia kwa mara ya kwanza darasani kunifundisa Family Law niliamini kweli niko zchuo kikuu na ninafundishwa na GURU mwenye uwezo mkubwa, na baada ya kufundishwa nae kwa muda mrefu sikuamini kama kuna mtu Tanzania ambaye anaweza kuwa na uwezo mkubwa katika maswala ya sheria za familia kwa wakati ule zaidi yake.

Naikumbuka sauti yake kali na maelezo yake yasiyobabisha nakumbuka pia wanafunzi wengi waliopendelea kukaa viti vya mbele walilalamika kuwa Palmagamba alikuwa ananyesha sana, yaani akiongea anatoa mate huku na huku hilo sikulishuhudia kwani nilikuwa napendelea kukaa nyuma kama ilivyo mila yetu kuwa kijana wa kichaga unakaa nyuma ya familia ili kuilinda na kuhakikisha familia inakuwa salama sio uhuni kukaa backbencha.Siamini mtu mahiri ambaye mara zote darasani aliiponda serikali na kuwaponda watendaji wake

Mwalimu ambaye hakuna hata siku moja laiyowahi kusema zuri juu ya serikali na katiba yake,kila siku akijadili katiba alionyesha mapungufu makubwa juu ya katiba iweje leo ausifie mswada mbovu LAZIMA AMELOGWA na huku ni kulogwa kwa kununuliwa na SHILINGI.

Alipoingia kwenye siasa za kinafki na kuanza kuchambua hoja ya mgombea binafsi kinafki bila kusema ukweli kwa wananchi niligundua kuwa mwalimu wangu sasa ana njaa ,na ameamua kutafuta umaarufu mwingine zaidi ya ule uliotukuka aliokuwa nao.Nilifikiri labda anajiandaa kugombea ubunge sehemu fulani au ameahidiwa Uanasheria mkuu.

Wiki iliyopita nilishangaa sana kumuona mwalimu huyu wa Family law akiungana na adui yake mkubwa Jaji wa zamani wa mahakama Kuu kitengo cha biashara kwa kuteatea mswada mbovu wa katiba unaopelekwa bungeni kwa nguvu ya mafisadi na serikali isiyosikiliza maoni na matakwa ya watu waliowapeleka madarakani,""hii si sawa na ni lazima itambulike kuwa wanasiasa nyie ni watanzania pia na huu mswada unawahusu zaidi nyie"" Haya ni baadhi ya manene yaliyomtoka Guru wa sheria za kifamilia na kunifanyua nijiulize ni nani aliyemloga Guru huyu??

Naomba kumshauri mwalimu wangu kuwa kwa sasa amebaki peke yake mtaalamu na msomi anayeitetea CCM,aangalie sana isije ikawa mwaisho wa wema wake unafikia kuwa mwanzo wa ubaya wake.

Mabadiliko tunayoyataka ni lazima yaje kwa nguvu au kwa hiari Mkapa alisema HAKI HAIOMBWI INADAIWA NA IKISHINDIKANA INAPIGANIWA, tutaidai haki yetu hata kwa kuipigania.
Huu ni mwaka wa maadui wote wa tanzania kujitokeza, watanzania tuwe makini sana nao, uprofesa usiwe sababu ya kuwaonea haya
 
Huu ni mwaka wa maadui wote wa tanzania kujitokeza, watanzania tuwe makini sana nao, uprofesa usiwe sababu ya kuwaonea haya
Huyo Jamaa ni mtu wa system na alikuwa muhandishi wa magazeti ya CCM. Usitegemee jipya kutoka kwake
 
Ni kweli mwanzo alirogwa. Nakumbuka jamaa zangu wa law walivyokuwa wakinihadithia. Kabudi kwenye lecture yake full kumcfia jk na kuicfia rasimu ya katiba mpaka nikaogopa. Hata jana alivyokuwa akianza nikajua ataharibu lakn hata mwenyewe amekubali kuwa alikuwa mjinga na alipoeleweshwa akaduwaa. Hongera prof.
 
Sisi ni wanafiki na bado tu wachanga katika mijadala. Kesho akija na jambo lingine akaelekea kuunga mkono serikali tutamponda vibaya sana. Tunapenda kusikia sauti zetu wenyewe.
 
Prof. Kabodi bana: -------- ana tabia ya kushupaa na
Mjinga ana tabia ya kuduwaa...basi kuanzia leo mimi ni
MJiNGa...Somo kubwa sana 2014...Je wewe unachagua
kushupaa au kuduwaa?! # KaziKwako # KatibaMpyaTz
 
....Kabuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuudiiiiiiiiiiiiiiiiii! KARUDI! Leo kama CCM hawajamwelewa NTAWASHANGAAAAAAAAAAAAAAA! Nawashauri Wajumbe wa BONGE la katiba waisome RANDAMA pamoya na RASIMU ya Katiba MPYA ibara za 6, 8, 10 na 15 KWA PAMOJA kabla hawajarudia kuwatukana kina Sinde. Yaani kwa Ung'eng'e: They should ready CROSS SECTIONALLY all these artlicles.

Kama mnaweza kumsema pr.kabudi kanunuliwa,kwa kuwa tu amepingana na ccm,sasa naelewa kwa nini hotuba za rais jk nyerere hazionyeshwi tbc,Dr.salm Ahmed salm kuitwa mwarabu,jenerali Ulimwengu kuitwa mrundi.
Kama mwl.jk nyerere kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa kuigawanya uganda na Rwanda iliyokuwa nchi moja alihuzunika,ni viongozi hawa walio na miwani ya mbao wanadiriki kumshambulia mtu yeyote kisa si mfuasi wa ccm.
Nimejua kwa nini ccm,mara kwa mara wanawasema wapemba kwa sababu kiitikadi ni wafuasi wa cuf.
Dhambi ya ubaguzi imeota ghafla ama sera ya ccm?.
Kitaalamu na mujibu wa sayansi ya siasa,unapata suluhisho kuwa chama cha mapinduzi kilishaacha siasa zake za umoja,mshikamano na kuanzisha sera za ubaguzi wa rangi,jinsi,ukabila na itikadi.
Ndio maana mleta mada ambaye ni mwanaccm anadiriki kusema Pr.paramaganda kabudi ni amehongwa,mara ni hili ,hii ni kwa kuwa tu amesema uhuni wa cc yaccm ambao wamejiandaa kukwamisha rasimu bora kabisa ya katiba ili waendelee kulipana fadhila ya madaraka!!.change we can,we ' ve the power,we have God we have the people ccm have to step down he has shown the great loss of political legacy.
 
Alipoingia kwa mara ya kwanza darasani kunifundisa Family Law niliamini kweli niko chuo kikuu na ninafundishwa na GURU mwenye uwezo mkubwa, na baada ya kufundishwa nae kwa muda mrefu sikuamini kama kuna mtu Tanzania ambaye anaweza kuwa na uwezo mkubwa katika maswala ya sheria za familia kwa wakati ule zaidi yake.

Naikumbuka sauti yake kali na maelezo yake yasiyobabisha nakumbuka pia wanafunzi wengi waliopendelea kukaa viti vya mbele walilalamika kuwa Palmagamba alikuwa ananyesha sana, yaani akiongea anatoa mate huku na huku hilo sikulishuhudia kwani nilikuwa napendelea kukaa nyuma kama ilivyo mila yetu kuwa kijana wa kichaga unakaa nyuma ya familia ili kuilinda na kuhakikisha familia inakuwa salama sio uhuni kukaa backbencha.Siamini mtu mahiri ambaye mara zote darasani aliiponda serikali na kuwaponda watendaji wake

Mwalimu ambaye hakuna hata siku moja laiyowahi kusema zuri juu ya serikali na katiba yake,kila siku akijadili katiba alionyesha mapungufu makubwa juu ya katiba iweje leo ausifie mswada mbovu LAZIMA AMELOGWA na huku ni kulogwa kwa kununuliwa na SHILINGI.

Alipoingia kwenye siasa za kinafki na kuanza kuchambua hoja ya mgombea binafsi kinafki bila kusema ukweli kwa wananchi niligundua kuwa mwalimu wangu sasa ana njaa ,na ameamua kutafuta umaarufu mwingine zaidi ya ule uliotukuka aliokuwa nao.Nilifikiri labda anajiandaa kugombea ubunge sehemu fulani au ameahidiwa Uanasheria mkuu.

Wiki iliyopita nilishangaa sana kumuona mwalimu huyu wa Family law akiungana na adui yake mkubwa Jaji wa zamani wa mahakama Kuu kitengo cha biashara kwa kuteatea mswada mbovu wa katiba unaopelekwa bungeni kwa nguvu ya mafisadi na serikali isiyosikiliza maoni na matakwa ya watu waliowapeleka madarakani,""hii si sawa na ni lazima itambulike kuwa wanasiasa nyie ni watanzania pia na huu mswada unawahusu zaidi nyie"" Haya ni baadhi ya manene yaliyomtoka Guru wa sheria za kifamilia na kunifanyua nijiulize ni nani aliyemloga Guru huyu??

Naomba kumshauri mwalimu wangu kuwa kwa sasa amebaki peke yake mtaalamu na msomi anayeitetea CCM,aangalie sana isije ikawa mwaisho wa wema wake unafikia kuwa mwanzo wa ubaya wake.

Mabadiliko tunayoyataka ni lazima yaje kwa nguvu au kwa hiari Mkapa alisema HAKI HAIOMBWI INADAIWA NA IKISHINDIKANA INAPIGANIWA, tutaidai haki yetu hata kwa kuipigania.

Prof. Kabodi bana: -------- ana tabia ya kushupaa na
Mjinga ana tabia ya kuduwaa...basi kuanzia leo mimi ni
MJiNGa...Somo kubwa sana 2014...Je wewe unachagua
kushupaa au kuduwaa?! # KaziKwako # KatibaMpyaTz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom