Salehe Ndanda
Member
- Jun 15, 2009
- 41
- 3
You know, Tanzania tumewahi kutengeneza GARI' aina ya 'NYUMBU' Kikosi cha jeshi nyumbu kibaha Pwani. Magari hayo yapo kama ujawahi kuyaona nenda katika maonyesho ya nane nane utayakuta. Nani kaua kiwanda hicho? mpaka sasa tungekuwa tumetoa matoleo mangapi ya gari?
hivi hawa wazungu wanatutakia mema kweli? unamuona rafiki yako msingi wake unakufa wewe unaangalia tu , wakati unaweza kumsaidia. SINA MAANA KWAMBA WAZUNGU NDIO WAMEUA KIWANDA CHA NYUMBU RAAA ASHA, KWANINI WASITUSAIDIE KISIFE? hawa wazungu wanataka MADINI TU. SERIKALI YETU KILA SIKU WANANUNUA MAGARI YA KILA AINA, AFRIKA YA KUSINI WANATENGENEZA MAGARI KIUCHUMI HATUWAPATI LAKINI WAO WANAUMEME WA UHAKIKA WANAUMEME WA NUCLEAR THUS WHY UMEME HAUKATIKI OVYO.
NANI KAUA KIWANDA CHA NYUMBU?
hivi hawa wazungu wanatutakia mema kweli? unamuona rafiki yako msingi wake unakufa wewe unaangalia tu , wakati unaweza kumsaidia. SINA MAANA KWAMBA WAZUNGU NDIO WAMEUA KIWANDA CHA NYUMBU RAAA ASHA, KWANINI WASITUSAIDIE KISIFE? hawa wazungu wanataka MADINI TU. SERIKALI YETU KILA SIKU WANANUNUA MAGARI YA KILA AINA, AFRIKA YA KUSINI WANATENGENEZA MAGARI KIUCHUMI HATUWAPATI LAKINI WAO WANAUMEME WA UHAKIKA WANAUMEME WA NUCLEAR THUS WHY UMEME HAUKATIKI OVYO.
NANI KAUA KIWANDA CHA NYUMBU?