Huwa nakaa na kujiuliza ni nani ambaye ana uzalendo na uchungu wa kweli wa hii nchi ili tumkabidhi atuongoze? Wanajamii naomba muongozo wenu bila kuangalia itikadi za kisiasa. Maana mimi kwasasa bado sijamuona huyo mtu nahisi wote ni walewale tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.