Umemaliza kila kitu, akili alizopewa mwanamke sio za kawaida.... Hiyo mifano hapo juu yatosha namie kwa sauti kubwa nasema AMINATatizo lako unakurupuka unaishi kizamani wakati biblia ina mambo mapya. Biblia inasema hivi Kwa maana Bwana (MUNGU) ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume (Yeremia 31:22b). kuhusu wanawake kuhubiri, soma Zaburi 68:11 " Bwana analitoa neno lake; Wanawake watangazao habari ni jeshi kubwa"
Nadhani Mungu aliamua kuwakabidhi wadhifa huu kwa sababu ya CV zao
1. Wanaume wote walimshindwa Samson ila Delila akamnasa kilaini kabisa
2. Adam alishindwa kusimamia maagizo ya Mungu wake kamsikiliza mkwewe
3. Nuhu mcha mungu aliambiwa mkufuru Mungu, akalaani siku aliyozaliwa na tumbo lililomzaa
4.Wanawake ndio walikuwa wa kwanza kujua kuwa Yesu amefufuka
5. Yezebeli alimshawishi mwanaume kuacha kumwabudu Mungu wake
6. Mke wa Isaka alihamisha baraka ya uzaliwa wa kwanza kutoka kwa Esau kwenda kwa Yakobo aliyempenda
7. Sara alimshawishi ibrahim azae na housegirl kisha baadae kamshawishi tena amfukuze pamoja na katoto kalikozaliwa ikawa hivo
IrrelevantWanatuburudisha sana waacheni wanawake nao wawe na madaraka, mimi hata wakati wa mechi Mwanamke akitaka awe juu sina tatizo, natuma makombora huko huko juu
Sababu wa kijinga hauna maanaKwanini wanawake wamekimbia huu Uzi?
Fafanua mkuu!Shida watu wanashindwa kutofautisha kati ya EQUALITY na EQUITY.
Equity - Get what you deserve.
Equality - Never
Uzi una maana sana na inabidi msome ili mjitambue kuwa hamko sawa na sisi!Sababu wa kijinga hauna maana
Nyie mna pembe? Mikia,? Manyoya? Mna function tofauti,? Hamfi? Mna nini extra cha kujiona nyie ndo wenyewe tu sisi tutolewe kwenye hesabu?Uzi una maana sana na inabidi msome ili mjitambue kuwa hamko sawa na sisi!
Tatizo lako unakurupuka unaishi kizamani wakati biblia ina mambo mapya. Biblia inasema hivi Kwa maana Bwana (MUNGU) ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume (Yeremia 31:22b). kuhusu wanawake kuhubiri, soma Zaburi 68:11 " Bwana analitoa neno lake; Wanawake watangazao habari ni jeshi kubwa"
Nadhani Mungu aliamua kuwakabidhi wadhifa huu kwa sababu ya CV zao
1. Wanaume wote walimshindwa Samson ila Delila akamnasa kilaini kabisa
2. Adam alishindwa kusimamia maagizo ya Mungu wake kamsikiliza mkwewe
3. Nuhu mcha mungu aliambiwa mkufuru Mungu, akalaani siku aliyozaliwa na tumbo lililomzaa
4.Wanawake ndio walikuwa wa kwanza kujua kuwa Yesu amefufuka
5. Yezebeli alimshawishi mwanaume kuacha kumwabudu Mungu wake
6. Mke wa Isaka alihamisha baraka ya uzaliwa wa kwanza kutoka kwa Esau kwenda kwa Yakobo aliyempenda
7. Sara alimshawishi ibrahim azae na housegirl kisha baadae kamshawishi tena amfukuze pamoja na katoto kalikozaliwa ikawa hivo
Swali liko pale pale, nani aliwaingiza kwenye hesabu ya wanadamu? Awali hamkuhesabiwa. Wana wa Adamu walikuwa wawili Kain na Abel, unafikiri katika uzao wa Adamu hakuzaliwa binti? La hasha! walizaliwa ila hawakuhesabiwa.Nyie mna pembe? Mikia,? Manyoya? Mna function tofauti,? Hamfi? Mna nini extra cha kujiona nyie ndo wenyewe tu sisi tutolewe kwenye hesabu?
Fikiri ki upande mwingine pia utaona jamaa anamaanisha nini?Tatizo lako unakurupuka unaishi kizamani wakati biblia ina mambo mapya. Biblia inasema hivi Kwa maana Bwana (MUNGU) ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume (Yeremia 31:22b). kuhusu wanawake kuhubiri, soma Zaburi 68:11 " Bwana analitoa neno lake; Wanawake watangazao habari ni jeshi kubwa"
Nadhani Mungu aliamua kuwakabidhi wadhifa huu kwa sababu ya CV zao
1. Wanaume wote walimshindwa Samson ila Delila akamnasa kilaini kabisa
2. Adam alishindwa kusimamia maagizo ya Mungu wake kamsikiliza mkwewe
3. Nuhu mcha mungu aliambiwa mkufuru Mungu, akalaani siku aliyozaliwa na tumbo lililomzaa
4.Wanawake ndio walikuwa wa kwanza kujua kuwa Yesu amefufuka
5. Yezebeli alimshawishi mwanaume kuacha kumwabudu Mungu wake
6. Mke wa Isaka alihamisha baraka ya uzaliwa wa kwanza kutoka kwa Esau kwenda kwa Yakobo aliyempenda
7. Sara alimshawishi ibrahim azae na housegirl kisha baadae kamshawishi tena amfukuze pamoja na katoto kalikozaliwa ikawa hivo
Swali liko pale pale, nani aliwaingiza kwenye hesabu ya wanadamu? Awali hamkuhesabiwa. Wana wa Adamu walikuwa wawili Kain na Abel, unafikiri katika uzao wa Adamu hakuzaliwa binti? La hasha! walizaliwa ila hawakuhesabiwa.
Afu huyo Ibilisi ana ID humu JF.Hizo zitkuwa ni trick za ibilisi kabisa