Nani alisema mama wa kwanza inglishi haipandi

..Mzee Mwinyi aliwahi kusema lugha ya Kingereza ndiyo "kiswahili" cha dunia.

..lugha ya Kiingereza ni muhimu sana kama tunataka kuwa taifa lenye maendeleo,lenye watu wanaojiamini, na wenye uwezo wa kushindana ktk medani ya kimataifa.

..ni vizuri, ni vizuri, wananchi wetu wakazungumza lugha hizi mbili, Kiingereza na Kiswahili, kwa ufasaha.

NB:

..si kweli kwamba wa-China hawana habari na Kiingereza. kuna maelfu ya wanafunzi wa Kichina wanajifunza Kiingereza.
 
Ujinga wa waafrika tunafikiri kujua lugha yakigeni ndio akili ama ujanja, tunafikia kiwango chakuwacheka wale wanaojua lugha zetu zakibantu. Haya ndio mawazo yanayozidisha utumwa. In the modern era, Africa is to blame for Africa's problems
 
Lugha sio issue sana, huku kukumbatia kizungu ili kuonekana ndio usomi, ni sehemu tuu ya kazumba ya ukoloni mamboleo, mbona Wachini wao ni kichini tuu na lugha ya taifa walilopo basi.

Huyu mama namkubali sana, haswa maconfidence yake, with true and genuine facial expression zenye simplicity, humble and down to Earth. huku akiwa 100% natural compared to kazi ya ma-carollite kwenye ngozi za dada/mama zetu wengi wa leo, kwa kisingizio, hazina hydroquinone. Mama ni mama na yeye ni yeye hivyo alivyo ndivyo alivyo!

Huyu mama alikuwa akitumia saluni fulani Sinza, hata baada ya kutinga Ikulu, akawa bado anekwenda, huo mshike mshike wa foleni za huko ndipo nadhani akashauriwa wasusi waletwe nyumbani.
Mwacheni Mama Yetu.

Kusisitiza kiingereza haimaanishi ndio kukumbatia uzungu. Kwa taarifa yako kwa msingi wako wa kuita kiingereza ni lugha ya wazungu basi nchi zote za Africa tukiwa huko nje ya bara tunatumia lugha za wazungu, iwe kireno , kifaranza n.k. By the way hivi unajuwa Tanzania lugha yetu ya kuwasiliana na mataifa mengine yasiyozungumza kiswahili ni ipi? Ni ENGLISH in case hukujuwa sasa kama first lady hawezi kukitumia kutoona hilo ni tatizo ni sawa na kukumbatia maji kwa ngumi. Kuna mtu alisema alijiandaa miaka kumi kuchukua ofisi nadhani hili alisahau kulifanyia kazi, 10 yrs zingetosha kabisa kupolish yai likakaa vizuri kabisa.

Yaaani kweli katika zama hizi za utandawazi (globalization) unathubutu kusema kiingereza ni kukumbatia uzungu? Then mbona tuko busy kupeleka watoto academy? Na by the way hivi kitu gani ambacho hakikuletwa na wazungu? Hata nguo zimeletwa na wazungu basi tuvae majani ya miti ili tuache kukumbatia uzungu. Na itabidi pia tuache kutumia magari, umeme, simu na vinginevyo vyote ili tusikumbatie uzungu.

Kiingereza ni muhimu kama kweli tuko serious kwa ajili ya maendeleo yetu kama individuals na kama Taifa kwa ujumla. Ndio maana china wamelijuwa hili na wako more than serious na kujifunza kiingereza, fuatilia habari zao utathibitisha hili.
 
Utakuta huyo mzungu kazaliwa Lushoto ama kule Njombe,lakini kweli babu ataacha kumtafutia ticha wa ung'eng'e
 
Nani alisema mama wa kwanza inglishi haipandi... Tizama mwonekano wa mwili [body language]



IMG_1129.jpg


IMG_1213.jpg

uyu mama anaweza kuwa first lady mzuri wa sura kuliko wengi sana hapa africa...mzee jk lazima alichanganyikiwa,..hadi akampiga chini mamake Ridhiwani haikuwa mchezo kipindi uyu mama alipokuwa na umri mdogo...namheshimu kama dadangu lakini...msinielewe vibaya..
 
Everywhere kujua lugha zaidi ya moja is a plus....Hata wamarekani wanjifunza kichina and vice versa,ndo dunia ya sasa hatuwezi kubadilisha,tukipata maendeleo lugha yetu itapewa kipaumbele,na hata wazungu wanajifunza kiswahili.
 
Back
Top Bottom