Nani alipinga zoezi la kutangaza matokeo ya uchaguzi Zanzibar?

rr3

JF-Expert Member
Mar 19, 2015
3,018
3,678
Huenda ikawa sikumbuki Wakuu. Ila kuna swali linaniumiza kichwa kupita kiasi kila nikiliwaza kuhusu Zanzibar..... pengine lilishawahi kuuilizwa na kujibiwa humuhumu mtanisamehe au wakati zoezi linasitishwa msitishaji alitaja aggrieved party ambayo ndo ime-lunch malalamiko.

NI NANI ALIPINGA ZOEZI LA UTANGAZAZAJI WA MATOKEO YA UCHAGUZI ZANZIBABAR KATI YA VYAMA VILIVYOSHIRIKI UCHAGUZI HUO????????

Kwa huku bara kuna chama ambacho kilipinga na kuandika official letter kupinga kuendelea kutangaza ila Wahusika waliziba masikio na kuendelea na zoezi.

Kama ni Chama kilipinga zanzibar kikasikilizwa mbona bara hakikusikilizwa???????

Na kama ni Mtu mzima Jecha peke yake.... inakuaje apike chakula watu waanze kula na wakipende then awanyang'anye???????? na kusema ni kibaya ilhali walaji wamenogewa......

Very interesting times we are living in.
 
Huenda ikawa sikumbuki Wakuu. Ila kuna swali linaniumiza kichwa kupita kiasi kila nikiliwaza kuhusu Zanzibar..... pengine lilishawahi kuuilizwa na kujibiwa humuhumu mtanisamehe au wakati zoezi linasitishwa msitishaji alitaja aggrieved party ambayo ndo ime-lunch malalamiko.

NI NANI ALIPINGA ZOEZI LA UTANGAZAZAJI WA MATOKEO YA UCHAGUZI ZANZIBABAR KATI YA VYAMA VILIVYOSHIRIKI UCHAGUZI HUO????????

Kwa huku bara kuna chama ambacho kilipinga na kuandika official letter kupinga kuendelea kutangaza ila Wahusika waliziba masikio na kuendelea na zoezi.

Kama ni Chama kilipinga zanzibar kikasikilizwa mbona bara hakikusikilizwa???????

Na kama ni Mtu mzima Jecha peke yake.... inakuaje apike chakula watu waanze kula na wakipende then awanyang'anye???????? na kusema ni kibaya ilhali walaji wamenogewa......

Very interesting times we are living in.

Kazi ya tume ni ya u-refa kama wa mpira.Refa uwanjani hahitaji yeyote amwambie yule kacheza rafu.Ana macho na mwenye macho haambiwi tazama.Sababu za kusimamishwa ZEC iliona kasoro mfano wapiga kura walikuwa wengi kuliko waliojiandikisha daftari la wapiga kura.Nani alicheza hiyo rafu ni CUF au ni CCM? hakuna ajuaye maana wote walikauka kimya si CCM si CUF.Yawezekana wote walicheza rafu.

Tofautisha kazi za tume na kazi za mahakama.Tume ni mwangalizi wa mchezo mzima unavyochezwa.Hahitaji kuletewa kesi na yeyote sababu wote waweza amua kucheza rafu WAKAJIKAUSHA.
 
Kazi ya tume ni ya u-refa kama wa mpira.Refa uwanjani hahitaji yeyote amwambie yule kacheza rafu.Ana macho na mwenye macho haambiwi tazama.Sababu za kusimamishwa ZEC iliona kasoro mfano wapiga kura walikuwa wengi kuliko waliojiandikisha daftari la wapiga kura.Nani alicheza hiyo rafu ni CUF au ni CCM? hakuna ajuaye maana wote walikauka kimya si CCM si CUF.Yawezekana wote walicheza rafu.

Tofautisha kazi za tume na kazi za mahakama.Tume ni mwangalizi wa mchezo mzima unavyochezwa.Hahitaji kuletewa kesi na yeyote sababu wote waweza amua kucheza rafu WAKAJIKAUSHA.


Mkuu inaonesha huyo Jecha ana utukufu kumzidi hata Yesu kristo na Mtume Muhammad S.A.W!
 
Kazi ya tume ni ya u-refa kama wa mpira.Refa uwanjani hahitaji yeyote amwambie yule kacheza rafu.Ana macho na mwenye macho haambiwi tazama.Sababu za kusimamishwa ZEC iliona kasoro mfano wapiga kura walikuwa wengi kuliko waliojiandikisha daftari la wapiga kura.Nani alicheza hiyo rafu ni CUF au ni CCM? hakuna ajuaye maana wote walikauka kimya si CCM si CUF.Yawezekana wote walicheza rafu.

Tofautisha kazi za tume na kazi za mahakama.Tume ni mwangalizi wa mchezo mzima unavyochezwa.Hahitaji kuletewa kesi na yeyote sababu wote waweza amua kucheza rafu WAKAJIKAUSHA.
Nani alijaza fomu ya malalamiko kwa mujibu wa sheria za uchaguzi?
 
Kazi ya tume ni ya u-refa kama wa mpira.Refa uwanjani hahitaji yeyote amwambie yule kacheza rafu.Ana macho na mwenye macho haambiwi tazama.Sababu za kusimamishwa ZEC iliona kasoro mfano wapiga kura walikuwa wengi kuliko waliojiandikisha daftari la wapiga kura.Nani alicheza hiyo rafu ni CUF au ni CCM? hakuna ajuaye maana wote walikauka kimya si CCM si CUF.Yawezekana wote walicheza rafu.

Tofautisha kazi za tume na kazi za mahakama.Tume ni mwangalizi wa mchezo mzima unavyochezwa.Hahitaji kuletewa kesi na yeyote sababu wote waweza amua kucheza rafu WAKAJIKAUSHA.
NI JIMBO LIPI TUME ILIGUNDUA KURA ZIMEZIDI? KWA NINI WARUDIE NCHI NZIMA WASIRUDIE HILO JIMBO AU HIYO KASORO ILIKUWA KUBWA KULIKO ZINGINE ZOTE AMBAZO ZIMEWAHI KUTOKEA ZANZIBAR?
 
Nani alijaza fomu ya malalamiko kwa mujibu wa sheria za uchaguzi?

Thanks. Hiki ndo kinanisumbua na ndio naumiza kichwa kutatua???? Maana maisha ya watu hayawezi kuwekwa rehani na Jecha kimasihara tu. Ugali upike wewe, watu wanaanza kula unaumwaga ilihali wao wanasema umeiva na wewe unabisha.
 
Kwa nini JEshi lilitumika kuwaondoa aka kuwateka na kuwaondoa waliokuwa wakiendelea kutangaza matokeo ,Je ni mkuu wa majeshi,je jemedari mkuu Je ni mkuu wa vikosi vya SMZ ,inakuwaje jeshi kufanya jambo hili Mkuu wa majeshi njoo na jibu hata msemaji wa jeshi ajitokeze na kulitolea kauli hili sio kukaa kimya kikinuka mtaitwa kujibu.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom