damian marijani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2010
- 695
- 460
RIP Dr. Judith Kahama, huyu mzee si ndio yeye alifisadi CDA miaka ile? Kama kawa akahamishiwa kwingine.
.
.
.
ndege ikaruka mara ya kwanza --- george akaguna...
ndege ikaruka mara ya pili -- george akaguna tena kwa sauti --mmmmnh (ule mguno wa kihaya)
iliporuka mara ya tatu -- nikamsikia george akipiga kelele -- maweeeee!!!!!
(RIP nyerere)
Sio kweli, hana wake wawili. Ana mke mmoja na hawala/malaya mmoja. Wakatoliki sheria ya Mungu na ya nchi inasema mke mmoja na mume mmoja. Rekebisha maandishi yako.
hiyo tiltle ilitokana na utani alikuwa akiitwa hivyo na rafike yake Mwl. Julius Kambarage Nyerere. Si Andy Chande ndiye pekee aliyepewa hiyo title na malkiaWapi alipo huyu mzee ? Aliwahi kuwa waziri awamu ya kwanza na ya 3 . Na hiyo heshima ya kuwa sir aliipata kwa kufanya nini?
hiyo tiltle ilitokana na utani alikuwa akiitwa hivyo na rafike yake Mwl. Julius Kambarage Nyerere. Si Andy Chande ndiye pekee aliyepewa hiyo title na marakia
safari, katisha sheria za kikatoliki, na sheria ya ndoa ya mwaka 1971, mkristo anakuwa na mke mmoja. Hivyo hichi kingine sio mke, ni malaya /hawala wake. SIO KWA DEFINITION YA MKE KWA MUJIBU WA CHRISTIAN FAITH/SHERIA YA NDOA YA MWAKA 1971 UNLESS HE PROFESSES PAGANISM/CUSTOMARY MARRIAGE!Usibishe mkuu.....ni kweli ana wake wawili tena wa tumbo moja......Janet ndiye mdogo....tuwape pole kwa kufiwa na mtoto wao!
usibishe mkuu.....ni kweli ana wake wawili tena wa tumbo moja......janet ndiye mdogo....tuwape pole kwa kufiwa na mtoto wao!
Nyerere baada ya kurudi toka China, alianza kuvaa ki-Mao. Wanasiasa wote wakamwiga (na waka acha baada ya Mwinyi kushika madaraka) isipokua Kahama ambaye aliendelea kuvaa suti. Kwa utani, akiwa amevalia suti, Mwalimu almwita Sir George. Tangu siku hiyo akawa anaitwa hivyo, and he didn't mind. Huyo u Sir hakutumukiwa na Elizabeth II, ALIBANDIKWA na Nyerere
Huyu mzee namuheshimu lakini wazee kama hawa wanaposhindwa kuwa active now kuisema na kuwasemea watanzania wanyonge sasa wakati tunawahitaji kuliko wakati wowote mpaka tunaomba Nyerere afufuke wao wapo wapo tu kazi kusifia serikali iliyopo madarakani.wasimame sasa tuzisikie sauti zao! Haina maana watu wazito ktk historia ya nchi kama yeye hata vijana hawamfahamu na yupo hai akiwa na akili timamu kabisa! Legacy haina mwisho na hatutaki kukumbuka historia yake tu bali hata sasa akiwa hai anatoa mchango gani? Mandela ametetea wanyonge mpaka kumsemea mbovu Bush hadi uzee ulipomzidi!! Hawa wanaokula pension tu alafu wanaisema serikali kiuoga hawatendei haki legacy wanayopewa na watanzania!!