Nani alimpa u-'SIR' George Kahama?, Tanzania wenye cheo hiki wapo wangapi?

alipewa hlo jina nyerere baada ya muda wa zle sut za kiingereza muda wake kupita alipomuona ndo akamtania kwa kumuita sir
 
Nijuavyo Sir George alipewa cheo cha Sir.na malkia kwa kukariri dictionary kuanzia A-Z na maana yake(Oxford Dictionary),mzee anajua kimombo vizuri sana.

Hahahaa,eti kameza Dictionary A-z hiyo kamba nimefungua katafute wa kuwafunga.JF kwa vituko ni noumaaaaaaaa! U sir kwa kumeza kamusi hii kali zaid ya Ukali, Kwa hisani ya Mayenga!
 
mimi ninavyojua U-sir unapewa na malkia wa uingereza na ndio maana sir Alex Ferguson wa manchester united alipewa sir na malikia baada ya kujiunga na timu hiyo na kusaidia kutwa matatu kama sikosei at once.I stand to be corrected.
 
Mkuu hii tittle ya Sir alipewa na Malkia wa uingereza kwa kuwa mwafrika wa kwanza kuingia kwenye bunge la mkoloni mwaka 1958 akiwa kama mbunge wa Legico jimbo la Karagwe jimbo la ziwa magharibi na mwaka 1959 aliteuliwa kuwa waziri wa starehe na maendeleo kwenye serikali ya muda kabla ya uhuru wa Tanganyika! Alisoma shule ya Tabora then chuo cha Loughborough Uingereza! He is the only and only real Sir by little in Tanzania if not Africa just like Sir Alex and Bobby Robson and all real ones u know! Sio A.k.a ni real tittle ni mmoja wa unvalued treasures
 
Mkuu hii tittle ya Sir alipewa na Malkia wa uingereza kwa kuwa mwafrika wa kwanza kuingia kwenye bunge la mkoloni mwaka 1958 akiwa kama mbunge wa Legico jimbo la Karagwe jimbo la ziwa magharibi na mwaka 1959 aliteuliwa kuwa waziri wa starehe na maendeleo kwenye serikali ya muda kabla ya uhuru wa Tanganyika! Alisoma shule ya Tabora then chuo cha Loughborough Uingereza! He is the only and only real Sir by little in Tanzania if not Africa just like Sir Alex and Bobby Robson and all real ones u know! Sio A.k.a ni real tittle ni mmoja wa unvalued treasures

tatizo nilikuwa naifananisha na ile ya juma nature bwana..
 
Mkuu hii tittle ya Sir alipewa na Malkia wa uingereza kwa kuwa mwafrika wa kwanza kuingia kwenye bunge la mkoloni mwaka 1958 akiwa kama mbunge wa Legico jimbo la Karagwe jimbo la ziwa magharibi na mwaka 1959 aliteuliwa kuwa waziri wa starehe na maendeleo kwenye serikali ya muda kabla ya uhuru wa Tanganyika! Alisoma shule ya Tabora then chuo cha Loughborough Uingereza! He is the only and only real Sir by little in Tanzania if not Africa just like Sir Alex and Bobby Robson and all real ones u know! Sio A.k.a ni real tittle ni mmoja wa unvalued treasures

Ungemalizia kwa kutueleza alilifanyia nini jimbo lake la Karagwe na taifa kwa ujumla kwa miaka hiyo aliyokuwa serikalini (1958- 2000's). Watu wa Karagwe watamkumbuka kwa lipi?


  • Kwamba alipewa title ya u-Sir na Malkia!
  • Kwamba alikuwa ni miongoni mwa mawaziri wa kwanza wa nchi hii!!
  • Kwamba alikuwa ni miongoni mwa waafrika wa kwanza kuingia kwenye bunge la mkoloni!!
  • Kwamba alikuwa ni miongoni mwa waafrika wa kwanza kusoma Uingereza!!

Vyeo vingine havina maana kama haviwezi kuonesha matokeo ya moja kwa moja. Nadhani wanaotokea huko wataendeleza zaidi ya hapo. Mfano wakati mwingene huitaji kujitambulisha kwa watu kuwa wewe ni msomi, Prof, Dr, Eng na kadhalika. Ila watu watakugundua na kuwaeleza watu wengine kwasababu ya kile wanachokiona kwako either mawazo na hata matendo. Nani anastahili kupewa title ya u-Sir
 
Ungemalizia kwa kutueleza alilifanyia nini jimbo lake la Karagwe na taifa kwa ujumla kwa miaka hiyo aliyokuwa serikalini (1958- 2000's). Watu wa Karagwe watamkumbuka kwa lipi?


  • Kwamba alipewa title ya u-Sir na Malkia!
  • Kwamba alikuwa ni miongoni mwa mawaziri wa kwanza wa nchi hii!!
  • Kwamba alikuwa ni miongoni mwa waafrika wa kwanza kuingia kwenye bunge la mkoloni!!
  • Kwamba alikuwa ni miongoni mwa waafrika wa kwanza kusoma Uingereza!!

Vyeo vingine havina maana kama haviwezi kuonesha matokeo ya moja kwa moja. Nadhani wanaotokea huko wataendeleza zaidi ya hapo. Mfano wakati mwingene huitaji kujitambulisha kwa watu kuwa wewe ni msomi, Prof, Dr, Eng na kadhalika. Ila watu watakugundua na kuwaeleza watu wengine kwasababu ya kile wanachokiona kwako either mawazo na hata matendo. Nani anastahili kupewa title ya u-Sir

Kaka kwa issue yako ungeanzisha thread yako inayouliza maswali yako then ningekujibu kuliko kupata mteremko kwa kutumia thread ya mtu mwingine mimi nimemjibu mwenye hii thread na karidhika kwa majibu yangu na maswali yake yote nimemjibu kwa hiyo maswali yako yatajibiwa iwapo tu utafata utaratibu unaotakiwa ila hatuwezi vamia thread ya jamaa hapa kujibu semi thread yako!
 
Ungemalizia kwa kutueleza alilifanyia nini jimbo lake la Karagwe na taifa kwa ujumla kwa miaka hiyo aliyokuwa serikalini (1958- 2000's). Watu wa Karagwe watamkumbuka kwa lipi?


  • Kwamba alipewa title ya u-Sir na Malkia!
  • Kwamba alikuwa ni miongoni mwa mawaziri wa kwanza wa nchi hii!!
  • Kwamba alikuwa ni miongoni mwa waafrika wa kwanza kuingia kwenye bunge la mkoloni!!
  • Kwamba alikuwa ni miongoni mwa waafrika wa kwanza kusoma Uingereza!!

Vyeo vingine havina maana kama haviwezi kuonesha matokeo ya moja kwa moja. Nadhani wanaotokea huko wataendeleza zaidi ya hapo. Mfano wakati mwingene huitaji kujitambulisha kwa watu kuwa wewe ni msomi, Prof, Dr, Eng na kadhalika. Ila watu watakugundua na kuwaeleza watu wengine kwasababu ya kile wanachokiona kwako either mawazo na hata matendo. Nani anastahili kupewa title ya u-Sir

Pia kumbuka yeye alikuwa kiongozi wa serikali ya kikoloni so usiwe mvivu wa kufikiri serikali ya kikoloni ilikuwa kwa ajili ya watz? Including hao wakaragwe! Na huo Usir hakupewa na waTz alipewa na Malkia so there is nothing to do with what has he done to tanzanians or karagweans! But there is definitely a lot to do with what has he done kwa wakoloni au waliompa hiyo tittle ya Sir au unataka kuleta siasa za CCM na Chadema kwa vile Kahama alikuwa Tanu then CCM baada ya uhuru? Haihitaji kufika university kujua haya mkuu
 
Back
Top Bottom