nenda kachukue posho yako,kazi uliyoagizwa umeisha maliza.Haya mmeshamjua na Madaktari wamerudi kazini na viherehere wapatao 200 watashtakiwa kwa hiyo mnachotaka ni nini? Mumkamate mtesaji au muache migomo ya kura kwa nini msisubiri 2015 ili muone Ballot Box zitavyojibu hivi ugumu wa kutawala mnaujua ni Nchi gani haita Kitengo cha Usalama?
umesahau sana,punguza mawazo.HAYA ANDIKA Hivi sura mbaya,roho mbaya kwa kushirikiana na yule aliyewahi kuambiwa na maalim self sharif hamad akagombee umiss 2010.Slaa aliagiza Dr.Uli auwawe ili itokee fujo, si alishasema hii nchi haita tawalika.
kwiiiii,kwiiii,kwiiii maji marefu?hapana dr lusinde.labda madaktari type ya Maji marefu
Madaktari wamerudi kazini lini kijana?eeh?
dini = fear of unknown.
TISS kaziniJamani kuna tetesi mimi nazisikia kuwa DK Ulimboka amepigwa kwa maagizo ya wale wafanyabiashara waliokuwa wana tenda na wizara ya afya wakati wa Nyoni,tenda hizo zote hiyo zilifutwa na wadai yote amesababisha Ulimboka,nilisikia maneno haya yakiongewa kwenye baa moja dar,sasa sijui kama ni kweli au ni fiksi za watu