Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,422
- 911,172
yeyote aliyekuwa kwenye baraza la mawaziri lililopita akirudi ni balaaaaaaaaa........hakuna hata mmoja wao mpambanaji wa ufisadi.................inapokuja masuala ya kitaifa wote huinamisha vichwa chini wakitanguliza masilahi yake...........