Kama mnahisi mnabaguliwa kwanini hamurudi nchini kwenu Tanganyika mnang'ang'ania huko nini?
nimezungumza na waziri mmoja znz hawajui hata mswada wa katiba unasemaje. nikamuuliza kwanini anasema hawana haja nao kwani zanzibar yao wanayo. ameniumiza aliposema hakuna mapato ya znz yanayoenda bara hivyo hata hela mnazowalipa wabunge wa znz na mawaziri wao za kwetu. ndio maana wanapenda muungano waendelee kutunyonya. muungano wa unyonyaji wa nini? watanganyika tuhoji. kumbe akina rashid wanapigania maslahi wale.
bado kuna wasaliti. wabara wenzetu. wanatuhujuma wabara wenzao kwa kushirikiana na mamwinyi.
mimi inaniuma sana kuona kula kitu kinaendeshwa ka rimoti kontroo ya mamwinyi wa pwani, na watanganyika wenzetu baadhi kama kina ngeleja wamesahau kuwa madini yetu kule tanganyika yanavunwa na kupelekwa ughaibunu kupitia viwanja vya ndege na bandari ya pwani. tunasahau kuwa ndugu zetu wanakula ugali wa kiporo kwa mizubho kule nhobhola, lakini mamwinyi wa pwani wanakula ubwabwa kwa nyama ya ng'ombe vinavyotoka kwenye mashamba yetu kule tanganyika.
huu ni mzaha sana kwamba ata samuweli sitta anayejisifu ni mtu makini anashindwa kwenda kuendesha mchakato wa muswada wa katiba kwao tabora, alakini anakwenda zenji kwa mamwinyi. huu ni utumwa sana wa kimwili na kiroho ambao lazima mimi 'nabii' kutoka tangayika ninapaswa kuupinga kwa nguvu zote.
watu wa bara tunajidhalilisha. tunawacha ndugu zetu vijijini wanalima mahindi na karanga na maharage yanayotumika kulisha mamwinyi wa pwani ya tanzania mpaka comorro lakini inapokuja ishu miuhimu kama katiba, watu wa bara tunatengwa bila huruma. friji za mamwinyi wa kariakoo, kisutu mpaka zenji zimejaa samaki sato na sangara, lakini watu wa mwanza wametengwa kuijadili katiba. hii ni dharau. maana yake sisi hatuna umuhimu sivyo?
wabara mlioko serekelini ya mamwinyi acheni usaliti. lazima tuungane pamoja, vinginevyo tutajikuta tunasilimishwa wote.
mods inabidi mtafakari kwanza kabla ya kuondoa hii post. tulipojua mwenyekiti wa chama cha mamwinyi kaja mbeya tukajua na sisi tumekumbukwa ishu ya katiba, kumbe kaja kugawa kadi kwa kitambara.
kama hii si dharau ni nini?
na watanganyika tunamshangilia badala ya kumpiga mawe!!