Shukuru
JF-Expert Member
- Sep 3, 2007
- 748
- 15
Mtu mmoja alikuwa ndani ya nyumba yake. Ghafla wakaja wageni kadhaa. Katika wageni hao kulikuwa na wababa wawili, watoto wawili, babu mmoja na mjukuu mmoja. Ikiwa jamaa (mwenyeji) anataka kukaa nje na wageni wake wote, Je atatoka na viti vingapi?
Welcome guys!!!
Welcome guys!!!