Nang'atuka rasmi kutoka CCM

Tangu awali Mi binafsi nimeshajuaga hawa ccm ni wauaji wa kimafia ila nilikuwa naisubiria siku km hizi sifike na hakika imefika.

ccm ni janga la Taifa letu tena tusipoipotezea mbali hakika watatuuza wote ndani ya nchi yetu tukiwa macho hv hv

Mi naichukia ccm toka ndani ya nafsi yangu.
Na hii ya uaji wa Baba wa Taifa imenigusa sana tena sana.
Mwisho wao waja!

Pole sana Mkuu kwa maumivu
 
Laana kuua huwa inamrudia muuaji.Msishangae kwenye kampeni ijayo baada ya hii ya Arumeru yatasemwa mengi zsidi ya hayo. Kuwatumia wazee kwenye kampeni ndo madhara yake.
 
Naona ulichelewa. Hakuna mtu makini anaweza kuwa mwanachama wa CCM. Hata hivyo inabidi ukubali kuwa ni Nyerere huyo huyo aliyewaumba na kuwalea hawa wauaji wa wenzao. Sasa wamegundua polonium kuwamwakyembe wenzao sijui nani atapona. Uzuri ni kwamba watamwakyembeana, kukolimbana, kukombeana, kuchifupana hata kumwaikamboana. Vita ya panzi neema ya kunguru.
 
Mnapoleta tuhuma nzito kama hizi ambatisheni na ushahidi. Sasa ukiniambia Nyerere aliuawa na Mkapa bila evidence nitatofautishaje maneno yako na yale ya walevi? Maana walevi wanaweza kusema lolote lililo akilini mwao na kuliapia bila hata kulijua ukweli wake. Na wewe ni kama hao? Leta evidence, alimuuaje na kwanini?

Wewe Lukolo kweli..........mauaji ya siri namna hiyo unataka evidence ya aje. Evidence anayo muuaji so mwambie akili kuwa aliua.....watu wanaua live lakini wanakanusha kuwa hawajaua na wanashinda kesi we vipi.Chenge alipogonga mtu...akafa haya nambe chenge yuko gereza lipi?
 
pole sana ndugu yangu, kuhusu kuhusika na vifo vya hao wote siwezi kuthibitisha, lakini cha balali nashawishika kuamini, kwangu mimi kuwa mwana chama wa chama chochote huwa naona ni kama kujitia wazimu bure, maana siasa ndivyo ilivyo.
wanasiasa wako tayari kufanya chochote ili mradi walilokusudia litimie.
mfano huyo anayeitwa eti waziri mkuu mstaafu, alivumilia matusi yote juu ya kashfa ya ric***nd- cha kushangaza leo anashuhudia kuwa alimshauli presda kuoingia mikataba hiyo. hata hao wanaojinadi kuwa wanaweza kuboresha masha yetu wakipata rungu watafanya hayohayo....
 
Samahani sana kama ntakuhudhi,

haya ni maoni yangu toka moyoni na sikushawishiwa na mtu yoyote:

Nikili kwamba mimi ni Mwanachama hai wa CCM na si utani. Chama nilikipenda toka moyoni, Ila kwa kwa sasa nabwaga manyanga Rasmi mimi si mwanachama tena wa CCM. Nilijiunga na CCM Mwaka 1999 nikiwa Form 4 hapo jijini DSM tena kwa Moyo mmoja kwa kadi No.1267...., tena kutokana na Mapenzi yangu ya dhati kwa Mwl. JK NYERERE. Na alipokufa nilisikitika sana tena sana, nakumbuka kipindi hicho nilikuwa najiandaa na Mitiana ya Form 4 na tena nilikuwa naumwa typhod kali sana na kidogo iniue! Ila nilijikongoja toka kitandani mpaka pale maeneo ya sanyansi enzi hizo pakijulikana Maji machafu kushuudia mwili wa mwalimu JK NYERERE ukipitishwa hapo. Kiukweli nililia sana na nkazidiwa na kukimbizwa hospital baada ya kuzidiwa ghafla na jua kali lililokuwa limenichapa. Nashukuru mungu aliniepusha na kifo.

SABABU ZA KUTOKA CCM:

1. Jana nimepata tena mshutuko wa ajabu baada ya kusikia kuwa chama changu (CCM) kilihusika katika kifo cha Mshawishi wangu wa kujiunga na CCM (JK NYERERE), kweli nimeumia sana.

2. Hii imepelekea nianze kuanimi maneno ya wapinzani kuwa CCM ni chama cha wauaji, achilia mbalil maswala ya UFISADI, maana Tanzania bila ufisadi haiwezekani, ndo maana kila mtu ni fisadi katika ofisi yake, na hakuna anayeweza kulipinga, maana bila ufisadi hakuna hata mmoja nayeweza kujenga kwa kutumia mishahara yetu. Nisingependa kuegemea katika swala la ufisadi.

3. Hii imenipele niamini kuwa chanzo cha vifo vya watu mbali mbali ndani ya CCM ni Mkono wa CCM wenyewe! Ntatoa mifano Hai:-

(a) Kifo cha Kigoma Malima, Utata Mtupu mpaka leo..........Mhusika ni CCM

(a) Kifo cha Kombe, Utata Mtupu mpaka leo......................Mhusika ni CCM

(b) Kifo cha Sokoine, Utata mtupu mpaka leo....................Mhusika ni CCM

(c) Kifo cha Daudi Balal, Utata Mtupi mpaka leo...................Mhusika ni CCM

(d) Kifo cha Amina Chifupa Utata mtupu mpaka leo............Mhusika ni CCM

(e) Kifo cha Aman Abeid karume Utata mtupu mpaka leo....Mhusika ni CCM

(f) Kifo cha Omary Ally Juma Utata mtupu mpaka leo ........Mhusika ni CCM

(g) Kifo cha JK NYERERE nacho leo wanasema ...................Mhusika ni CCM




Na sasa kuna maneno mengine juu ya ugonjwa wa Dr. Mwakyembe na Prof Mwandosya kuwa chanzo ni CCM, Jamani kwanini niendelee kuwa mwanachama wa chama hiki? Tafadhali wana CCM Mliokuwa wenzangu nipeni ushawishi wa kutosha wa kwanini nibaki katika hiki chama na Wapinzani nipeni sela zenye mashiko ya kujiunga na chama chenu la sivyo nakaa bila kuwa mwanachama wa chama chochote katika maisha yangu yote kuanzia leo.

KAPT. KOMBA ALIPATA WAPI TAARIFA MPAKA KUTUNGA NYIMBO ZA MAOMBOLEZO ALBAM NZIMA NA KUIREKODI, ALIJUAJE KAMA JK NYERERE ATAKUFA? PIA NINA WASI WASI NA KAPT KOMBA ALIJUA MPANGO MZIMA WA KIFO CHA UYU MZEE WETU WA TAIFA.

"NIMEUMIA SANA NA HABARI HII YA MKAPA KUHUSIKA KATIKA KIFO CHA JK.NYERERE NA IMENITOA RASMI CCM"

"MUNGU MLAZE PEMA MWL. JK NYERERE NA TUNAMPENDA SANA, WOTE WALIOHUSIKA WATAHUKUMIWA HAPA HAPA DUNIANI NA UMPE NGUVU MAMA MARIA NYERERE NA FAMILIA YAKE ASIDANGANYIKE KUUKANA HUU UKWELI MAANA WATAMWANDAMA SANA KUPITIA TBC ILI AYAKANE NA KUMKANA V. NYERERE KUWA SI MWANA FAMILA NA AMEKURUPUKA"


"NA MPAKA SASA HAJAKANUSHA"


MyTake:
Changia bila kutukana.


Nenda CHADEMA ukazidi kushangaa KIFO cha CHACHA Wangwe
 
kamugisha nakpata vzr sana,we ni mweupe au mtupu kichwani!weka namba yako ya uanachama hapa ya ccm,acha porojo,

Ndugu yangu uisome vizuri article yake kwani ameweka nambari yake ya uanachama ambayo ni 1267
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom