Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,536
- 2,187
- Thread starter
- #121
Tangu awali Mi binafsi nimeshajuaga hawa ccm ni wauaji wa kimafia ila nilikuwa naisubiria siku km hizi sifike na hakika imefika.
ccm ni janga la Taifa letu tena tusipoipotezea mbali hakika watatuuza wote ndani ya nchi yetu tukiwa macho hv hv
Mi naichukia ccm toka ndani ya nafsi yangu.
Na hii ya uaji wa Baba wa Taifa imenigusa sana tena sana.
Mwisho wao waja!
Pole sana Mkuu kwa maumivu