CHIETH
Senior Member
- Aug 15, 2011
- 179
- 67
Prof Mwaikyusa aliuwawa na Idara ya usalama wa rais wa Rwanda wakishirikiana na TISS. Hii ilikuwa kwa ajili ya kupoteza mwenendo wa kesi aliyokuwa akiisimamia kule ICTR Arusha iliyokuwa ikimuhusu Mtuhumiwa wa mauaji ya Rwanda.Ongeza vifo hivi
f). Gibson Mwaikambo
g). Professor Mwaikyusa
h). Stan Katabalo
i). Horace Kolimba
Wengine endelezeni