Nang'atuka rasmi kutoka CCM

Ongeza vifo hivi
f). Gibson Mwaikambo
g). Professor Mwaikyusa
h). Stan Katabalo
i). Horace Kolimba

Wengine endelezeni
Prof Mwaikyusa aliuwawa na Idara ya usalama wa rais wa Rwanda wakishirikiana na TISS. Hii ilikuwa kwa ajili ya kupoteza mwenendo wa kesi aliyokuwa akiisimamia kule ICTR Arusha iliyokuwa ikimuhusu Mtuhumiwa wa mauaji ya Rwanda.
 
"Nilijiunga na CCM Mwaka 1999 nikiwa Form 4"

"Nipeni ushawishi wa kutosha"


wewe akili yako bado changa,haijakomaa na haujawa mtu mzima bado

pili wewe ni mtu wa tamaa tamaa tu
hauna msimamo,

unafuata upepo,unavovuma ukivuma kuelekea kaskazini unageuzwa,na ukielekea kusini nawe umo.

Kaka sina tamaa na wala hao ccm sijawai hata kuvaa tisheti zao za bure, pia mm si mtoto kama unavyofikilia, nina umri wa miaka 36, so nina akili za kunutosha
 
kabla sijajiunga CDM kwa nini mbowe wanasema alimuua Chacha wangwe? kama mbowe ni kweli anahusika au jamaa yeyite wa CDM sasa hii ni hatari chama cha upinzani kisichokua na dola kuua wasiowataka je wakichukua dola anani atamzuia mbowe kuua zaidi? tunaona mafisadi waliokubuhu wa CCM wakiua au kutaka kuua wenzao na hapa wakiwa na network na dola nyuma yao sasa hawa wa CDM inanipa shaka kubwa na kupenda madaraka kwa mbowe et el


Mkuu mpaka leo kifo chake still ni fumbo kwangu,mbaya zaidi kifo chake kilitokea wakati yeye na chama chake wakiwa in bad terms!Nilishindwa kutafsiri moja kwa moja kuwa chama chake kinahusika lakini uamuzi nilioamua ni kuwa raia huru tu!!Siasa za Tz ni laana aisee!!
 
Samahani sana kama ntakuhudhi,

haya ni maoni yangu toka moyoni na sikushawishiwa na mtu yoyote:

Nikili kwamba mimi ni Mwanachama hai wa CCM na si utani. Chama nilikipenda toka moyoni, Ila kwa kwa sasa nabwaga manyanga Rasmi mimi si mwanachama tena wa CCM. Nilijiunga na CCM Mwaka 1999 nikiwa Form 4 hapo jijini DSM tena kwa Moyo mmoja kwa kadi No.1267...., tena kutokana na Mapenzi yangu ya dhati kwa Mwl. JK NYERERE. Na alipokufa nilisikitika sana tena sana, nakumbuka kipindi hicho nilikuwa najiandaa na Mitiana ya Form 4 na tena nilikuwa naumwa typhod kali sana na kidogo iniue! Ila nilijikongoja toka kitandani mpaka pale maeneo ya sanyansi enzi hizo pakijulikana Maji machafu kushuudia mwili wa mwalimu JK NYERERE ukipitishwa hapo. Kiukweli nililia sana na nkazidiwa na kukimbizwa hospital baada ya kuzidiwa ghafla na jua kali lililokuwa limenichapa. Nashukuru mungu aliniepusha na kifo.

SABABU ZA KUTOKA CCM:

1. Jana nimepata tena mshutuko wa ajabu baada ya kusikia kuwa chama changu (CCM) kilihusika katika kifo cha Mshawishi wangu wa kujiunga na CCM (JK NYERERE), kweli nimeumia sana.

2. Hii imepelekea nianze kuanimi maneno ya wapinzani kuwa CCM ni chama cha wauaji, achilia mbalil maswala ya UFISADI, maana Tanzania bila ufisadi haiwezekani, ndo maana kila mtu ni fisadi katika ofisi yake, na hakuna anayeweza kulipinga, maana bila ufisadi hakuna hata mmoja nayeweza kujenga kwa kutumia mishahara yetu. Nisingependa kuegemea katika swala la ufisadi.

3. Hii imenipele niamini kuwa chanzo cha vifo vya watu mbali mbali ndani ya CCM ni Mkono wa CCM wenyewe! Ntatoa mifano Hai:-

(a) Kifo cha Kigoma Malima, Utata Mtupu mpaka leo..........Mhusika ni CCM

(a) Kifo cha Kombe, Utata Mtupu mpaka leo......................Mhusika ni CCM

(b) Kifo cha Sokoine, Utata mtupu mpaka leo....................Mhusika ni CCM

(c) Kifo cha Daudi Balal, Utata Mtupi mpaka leo...................Mhusika ni CCM

(d) Kifo cha Amina Chifupa Utata mtupu mpaka leo............Mhusika ni CCM

(e) Kifo cha Aman Abeid karume Utata mtupu mpaka leo....Mhusika ni CCM

(f) Kifo cha Omary Ally Juma Utata mtupu mpaka leo ........Mhusika ni CCM

(g) Kifo cha JK NYERERE nacho leo wanasema ...................Mhusika ni CCM




Na sasa kuna maneno mengine juu ya ugonjwa wa Dr. Mwakyembe na Prof Mwandosya kuwa chanzo ni CCM, Jamani kwanini niendelee kuwa mwanachama wa chama hiki? Tafadhali wana CCM Mliokuwa wenzangu nipeni ushawishi wa kutosha wa kwanini nibaki katika hiki chama na Wapinzani nipeni sela zenye mashiko ya kujiunga na chama chenu la sivyo nakaa bila kuwa mwanachama wa chama chochote katika maisha yangu yote kuanzia leo.

KAPT. KOMBA ALIPATA WAPI TAARIFA MPAKA KUTUNGA NYIMBO ZA MAOMBOLEZO ALBAM NZIMA NA KUIREKODI, ALIJUAJE KAMA JK NYERERE ATAKUFA? PIA NINA WASI WASI NA KAPT KOMBA ALIJUA MPANGO MZIMA WA KIFO CHA UYU MZEE WETU WA TAIFA.

"NIMEUMIA SANA NA HABARI HII YA MKAPA KUHUSIKA KATIKA KIFO CHA JK.NYERERE NA IMENITOA RASMI CCM"

"MUNGU MLAZE PEMA MWL. JK NYERERE NA TUNAMPENDA SANA, WOTE WALIOHUSIKA WATAHUKUMIWA HAPA HAPA DUNIANI NA UMPE NGUVU MAMA MARIA NYERERE NA FAMILIA YAKE ASIDANGANYIKE KUUKANA HUU UKWELI MAANA WATAMWANDAMA SANA KUPITIA TBC ILI AYAKANE NA KUMKANA V. NYERERE KUWA SI MWANA FAMILA NA AMEKURUPUKA"


"NA MPAKA SASA HAJAKANUSHA"


MyTake:
Changia bila kutukana.


Ama kweli mwanajamvi Huo ni uamuzi wa busara, kweli hata kwa hali ya kawaida mtu hawezi kufa leo halafu leo leo mtu anatoa nyimbo za kuomboleza? Alipataje taarifa kwamba baba yetu kafa! Nae komba alijuaje mpaka kwenda kutunga nyimbo? Komba anahusika na pia kikwete nae anahusika kwa upande mwingine akiwa mwenye dhamana ya uwaziri wa mambo ya nje!
 
Kuna mtu aliwahi kunieleza kwamba kuna wachawi na washirikina hapa JF niligoma kumwamini akasema angalia thinking ya baadhi ya wanaJF. .....Ushirikina unaotukuzwa kwa kutuaminisha sababu ya vifo hivyo nakiri kwamba kuna walozi hapa JF na mods wakae mkao wa kupigwa juju.

kweli upo mshirikina wewe...utofautiani na user yako....!!!!!!!!!
 
Mkapa ndiye aliyesema Leukemia. Madaktari ni no no no no noi? Sisi tunaamini aliuwa kama hao wengine kwenye list.

Pia tukumbuke baada ya kifo cha JK ORIGINAL ambacho naamini shinikizo lilitoka majuu kwa sababu Mwl alikua anazuia uwekezaji kotoka nje kwenye madini yetu hadi tutakapo kua tayari kuyasimamia si wenyewe, baada ya kifo tu! mikataba mikubwa ya kitapeli iliingiwa kwa manufaa ya wachache ndani ya CCM. Kamwe sitaamiki alikufa naturally
 
Tangu awali Mi binafsi nimeshajuaga hawa ccm ni wauaji wa kimafia ila nilikuwa naisubiria siku km hizi sifike na hakika imefika.

ccm ni janga la Taifa letu tena tusipoipotezea mbali hakika watatuuza wote ndani ya nchi yetu tukiwa macho hv hv

Mi naichukia ccm toka ndani ya nafsi yangu.
Na hii ya uaji wa Baba wa Taifa imenigusa sana tena sana.
Mwisho wao waja!
 
Kwa nini vifo vya wanasiasa wengi vinaongelewa sana wakati wa kampeni za uchanguzi? Je, wahusika wanao ongelea vifo hivyo wanauchungu na vifo hivi au wanatumia vifo hivi kama mtaji wa kisiasa? Kama sababu za vifo hivi zinatumiwa kama mtaji wa kisiasa nani mnayemtaka aamini kuwa vifo hivyo vimetokana na sababu mnazozitaja?
 
Samahani sana kama ntakuhudhi,

haya ni maoni yangu toka moyoni na sikushawishiwa na mtu yoyote:

Nikili kwamba mimi ni Mwanachama hai wa CCM na si utani. Chama nilikipenda toka moyoni, Ila kwa kwa sasa nabwaga manyanga Rasmi mimi si mwanachama tena wa CCM. Nilijiunga na CCM Mwaka 1999 nikiwa Form 4 hapo jijini DSM tena kwa Moyo mmoja kwa kadi No.1267...., tena kutokana na Mapenzi yangu ya dhati kwa Mwl. JK NYERERE. Na alipokufa nilisikitika sana tena sana, nakumbuka kipindi hicho nilikuwa najiandaa na Mitiana ya Form 4 na tena nilikuwa naumwa typhod kali sana na kidogo iniue! Ila nilijikongoja toka kitandani mpaka pale maeneo ya sanyansi enzi hizo pakijulikana Maji machafu kushuudia mwili wa mwalimu JK NYERERE ukipitishwa hapo. Kiukweli nililia sana na nkazidiwa na kukimbizwa hospital baada ya kuzidiwa ghafla na jua kali lililokuwa limenichapa. Nashukuru mungu aliniepusha na kifo.

SABABU ZA KUTOKA CCM:

1. Jana nimepata tena mshutuko wa ajabu baada ya kusikia kuwa chama changu (CCM) kilihusika katika kifo cha Mshawishi wangu wa kujiunga na CCM (JK NYERERE), kweli nimeumia sana.

2. Hii imepelekea nianze kuanimi maneno ya wapinzani kuwa CCM ni chama cha wauaji, achilia mbalil maswala ya UFISADI, maana Tanzania bila ufisadi haiwezekani, ndo maana kila mtu ni fisadi katika ofisi yake, na hakuna anayeweza kulipinga, maana bila ufisadi hakuna hata mmoja nayeweza kujenga kwa kutumia mishahara yetu. Nisingependa kuegemea katika swala la ufisadi.

3. Hii imenipele niamini kuwa chanzo cha vifo vya watu mbali mbali ndani ya CCM ni Mkono wa CCM wenyewe! Ntatoa mifano Hai:-

(a) Kifo cha Kigoma Malima, Utata Mtupu mpaka leo..........Mhusika ni CCM

(a) Kifo cha Kombe, Utata Mtupu mpaka leo......................Mhusika ni CCM

(b) Kifo cha Sokoine, Utata mtupu mpaka leo....................Mhusika ni CCM

(c) Kifo cha Daudi Balal, Utata Mtupi mpaka leo...................Mhusika ni CCM

(d) Kifo cha Amina Chifupa Utata mtupu mpaka leo............Mhusika ni CCM

(e) Kifo cha Aman Abeid karume Utata mtupu mpaka leo....Mhusika ni CCM

(f) Kifo cha Omary Ally Juma Utata mtupu mpaka leo ........Mhusika ni CCM

(g) Kifo cha JK NYERERE nacho leo wanasema ...................Mhusika ni CCM




Na sasa kuna maneno mengine juu ya ugonjwa wa Dr. Mwakyembe na Prof Mwandosya kuwa chanzo ni CCM, Jamani kwanini niendelee kuwa mwanachama wa chama hiki? Tafadhali wana CCM Mliokuwa wenzangu nipeni ushawishi wa kutosha wa kwanini nibaki katika hiki chama na Wapinzani nipeni sela zenye mashiko ya kujiunga na chama chenu la sivyo nakaa bila kuwa mwanachama wa chama chochote katika maisha yangu yote kuanzia leo.

KAPT. KOMBA ALIPATA WAPI TAARIFA MPAKA KUTUNGA NYIMBO ZA MAOMBOLEZO ALBAM NZIMA NA KUIREKODI, ALIJUAJE KAMA JK NYERERE ATAKUFA? PIA NINA WASI WASI NA KAPT KOMBA ALIJUA MPANGO MZIMA WA KIFO CHA UYU MZEE WETU WA TAIFA.

"NIMEUMIA SANA NA HABARI HII YA MKAPA KUHUSIKA KATIKA KIFO CHA JK.NYERERE NA IMENITOA RASMI CCM"

"MUNGU MLAZE PEMA MWL. JK NYERERE NA TUNAMPENDA SANA, WOTE WALIOHUSIKA WATAHUKUMIWA HAPA HAPA DUNIANI NA UMPE NGUVU MAMA MARIA NYERERE NA FAMILIA YAKE ASIDANGANYIKE KUUKANA HUU UKWELI MAANA WATAMWANDAMA SANA KUPITIA TBC ILI AYAKANE NA KUMKANA V. NYERERE KUWA SI MWANA FAMILA NA AMEKURUPUKA"


"NA MPAKA SASA HAJAKANUSHA"


MyTake:
Changia bila kutukana.


Wenzio tulishakimbia muda mrefu huko Mafioso style of leadership ndio inatawala hakuna jengine.
 
Ta Kamugisha

kama unaona hakuna chama sasa chenye sera ya kukushawishi vipi ukionana na TENDWA ili usajiri chama kipya chenye sera unazo taka mwenyewe.

Ilo nalo neno, ila bado sijalifikiria maana kama vp nataka kutoka kabisa kushabikia chama chochote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom