kama ilivofanywa siri na wakuu wakifia huko marekan,uingereza, india n.k wazikwe huko huko na misiba iwe ya siri kama huuHuyu jamaa ni mzima wa afya njema, hajafa. Kwasababu zifuatazo:-
1. Kifo chake kilitangazwa tu na serikali ya CCM, baada ya kuhojiwa na CCMISS. Hakuna hospital yoyote nchini marekani iliyothibitisha kifo chake.
2. Katika daftari la vizazi na vifo, hajaandikwa huko marekani alikofia wala Tanzania alipozaliwa.
3. Mpaka leo hakuna tangazo la mirathi lililotolewa na mahakama yoyote (reason: hakuna cheti cha kifo)
4. Ndio msiba wa usiri zaidi kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania (Hakuna ndugu yoyote aliyeruhusiwa kuuona mwili wa marehemu).
5. Wakati wa kuwekwa kaburini (kama lipo) hakuruhusiwa mwanafamilia yoyote kushuhudia.
6. Katika hali ya kushangaza zaidi, mama wa marehemu (hewa) alifungiwa ndani, ni ilikuwa ni kwa kibali maalum toka Ikulu (c/o BOT) ndipo mtu aliweza kumwona na kumpa pole chini ya uangalizi wa CCMISS.
7. Waandishi wa habari hawakuruhusiwa kuonana na ndugu, ila kwa kibali maalum na chini ya usimamizi mkali.
IWAPO WATANZANIA WALIWEZA KUPATA FURSA YA KUUAGA MWILI WA MAREHEMU BABA WA TAIFA, KULIKONI KWA MWIZI WAO MKUU DAUDI BALALI. KULIKUWA NA UNYETI GANI KWA MWILI HUO KIASI KWAMBA HATA MAMA YAKE MZAZI ALIKATALIWA KUUONA? BALALI YU HAI.
Nenda Iringa kawasalimie, wapo waulize walipomzika marehemu. Balali hakuwa na familia (i.e Mke na watoto), wamelipwa kifuta machozi chao na BOT?Kaazi kweli kweli, kwani mpaka sasa hao ndugu wa balal bado wanatembea na walinzi? Kwanini hawasemi ukweli mpaka sasa?
Mnapoleta tuhuma nzito kama hizi ambatisheni na ushahidi. Sasa ukiniambia Nyerere aliuawa na Mkapa bila evidence nitatofautishaje maneno yako na yale ya walevi? Maana walevi wanaweza kusema lolote lililo akilini mwao na kuliapia bila hata kulijua ukweli wake. Na wewe ni kama hao? Leta evidence, alimuuaje na kwanini?
Samahani sana kama ntakuhudhi,
haya ni maoni yangu toka moyoni na sikushawishiwa na mtu yoyote:
Nikili kwamba mimi ni Mwanachama hai wa CCM na si utani. Chama nilikipenda toka moyoni, Ila kwa kwa sasa nabwaga manyanga Rasmi mimi si mwanachama tena wa CCM. Nilijiunga na CCM Mwaka 1999 nikiwa Form 4 hapo jijini DSM tena kwa Moyo mmoja kwa kadi No.1267...., tena kutokana na Mapenzi yangu ya dhati kwa Mwl. JK NYERERE. Na alipokufa nilisikitika sana tena sana, nakumbuka kipindi hicho nilikuwa najiandaa na Mitiana ya Form 4 na tena nilikuwa naumwa typhod kali sana na kidogo iniue! Ila nilijikongoja toka kitandani mpaka pale maeneo ya sanyansi enzi hizo pakijulikana Maji machafu kushuudia mwili wa mwalimu JK NYERERE ukipitishwa hapo. Kiukweli nililia sana na nkazidiwa na kukimbizwa hospital baada ya kuzidiwa ghafla na jua kali lililokuwa limenichapa. Nashukuru mungu aliniepusha na kifo.
SABABU ZA KUTOKA CCM:
1. Jana nimepata tena mshutuko wa ajabu baada ya kusikia kuwa chama changu (CCM) kilihusika katika kifo cha Mshawishi wangu wa kujiunga na CCM (JK NYERERE), kweli nimeumia sana.
2. Hii imepelekea nianze kuanimi maneno ya wapinzani kuwa CCM ni chama cha wauaji, achilia mbalil maswala ya UFISADI, maana Tanzania bila ufisadi haiwezekani, ndo maana kila mtu ni fisadi katika ofisi yake, na hakuna anayeweza kulipinga, maana bila ufisadi hakuna hata mmoja nayeweza kujenga kwa kutumia mishahara yetu. Nisingependa kuegemea katika swala la ufisadi.
3. Hii imenipele niamini kuwa chanzo cha vifo vya watu mbali mbali ndani ya CCM ni Mkono wa CCM wenyewe! Ntatoa mifano Hai:-
(a) Kifo cha Kigoma Malima, Utata Mtupu mpaka leo..........Mhusika ni CCM
(a) Kifo cha Kombe, Utata Mtupu mpaka leo......................Mhusika ni CCM
(b) Kifo cha Sokoine, Utata mtupu mpaka leo....................Mhusika ni CCM
(c) Kifo cha Daudi Balal, Utata Mtupi mpaka leo...................Mhusika ni CCM
(d) Kifo cha Halima Chifupa Utata mtupu mpaka leo............Mhusika ni CCM
(e) Kifo cha Aman Abeid karume Utata mtupu mpaka leo....Mhusika ni CCM
(f) Kifo cha Omary Ally Juma Utata mtupu mpaka leo ........Mhusika ni CCM
(g) Kifo cha JK NYERERE nacho leo wanasema ...................Mhusika ni CCM
Na sasa kuna maneno mengine juu ya ugonjwa wa Dr. Mwakyembe na Prof Mwandosya kuwa chanzo ni CCM, Jamani kwanini niendelee kuwa mwanachama wa chama hiki? Tafadhali wana CCM Mliokuwa wenzangu nipeni ushawishi wa kutosha wa kwanini nibaki katika hiki chama na Wapinzani nipeni sela zenye mashiko ya kujiunga na chama chenu la sivyo nakaa bila kuwa mwanachama wa chama chochote katika maisha yangu yote kuanzia leo.
"NIMEUMIA SANA NA HABARI HII YA MKAPA KUHUSIKA KATIKA KIFO CHA JK.NYERERE NA IMENITOA RASMI CCM"
"MUNGU MLAZE PEMA MWL. JK NYERERE NA TUNAMPENDA SANA, WOTE WALIOHUSIKA WATAHUKUMIWA HAPA HAPA DUNIANI NA UMPE NGUVU MAMA MARIA NYERERE NA FAMILIA YAKE ASIDANGANYIKE KUUKANA HUU UKWELI MAANA WATAMWANDAMA SANA KUPITIA TBC ILI AYAKANE NA KUMKANA V. NYERERE KUWA SI MWANA FAMILA NA AMEKURUPUKA"
Ha
MyTake:
Changia bila kutukana.
Ongeza vifo hivi
f). Gibson Mwaikambo
g). Professor Mwaikyusa
h). Stan Katabalo
i). Horace Kolimba
Wengine endelezeni
Ongeza vifo hivi
f). Gibson Mwaikambo
g). Professor Mwaikyusa
h). Stan Katabalo
i). Horace Kolimba
Wengine endelezeni
Huyu jamaa ni mzima wa afya njema, hajafa. Kwasababu zifuatazo:-
1. Kifo chake kilitangazwa tu na serikali ya CCM, baada ya kuhojiwa na CCMISS. Hakuna hospital yoyote nchini marekani iliyothibitisha kifo chake.
2. Katika daftari la vizazi na vifo, hajaandikwa huko marekani alikofia wala Tanzania alipozaliwa.
3. Mpaka leo hakuna tangazo la mirathi lililotolewa na mahakama yoyote (reason: hakuna cheti cha kifo)
4. Ndio msiba wa usiri zaidi kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania (Hakuna ndugu yoyote aliyeruhusiwa kuuona mwili wa marehemu).
5. Wakati wa kuwekwa kaburini (kama lipo) hakuruhusiwa mwanafamilia yoyote kushuhudia.
6. Katika hali ya kushangaza zaidi, mama wa marehemu (hewa) alifungiwa ndani, ni ilikuwa ni kwa kibali maalum toka Ikulu (c/o BOT) ndipo mtu aliweza kumwona na kumpa pole chini ya uangalizi wa CCMISS.
7. Waandishi wa habari hawakuruhusiwa kuonana na ndugu, ila kwa kibali maalum na chini ya usimamizi mkali.
IWAPO WATANZANIA WALIWEZA KUPATA FURSA YA KUUAGA MWILI WA MAREHEMU BABA WA TAIFA, KULIKONI KWA MWIZI WAO MKUU DAUDI BALALI. KULIKUWA NA UNYETI GANI KWA MWILI HUO KIASI KWAMBA HATA MAMA YAKE MZAZI ALIKATALIWA KUUONA? BALALI YU HAI.
Wee dogo akili yako haijatulia kabisa. Wee kila mtu unafikiria anawaza kwa masaburi na kumwona ni mdogo wako, mtu mwenyewe 1999 ulikuwa form four halafu unajiona mkubwa kuliko wengine wote hapa JF. Kuhusika ni kufanyeje sasa? Kama tukisema umehusika katika mauaji si manake umeua? Sasa leta ushahidi wa namna Mkapa alivyohusika. Au na wewe umekuwa mpayukaji kama mtoto wa kufikia wa Nyerere? Hili ni jukwaa la great thinkers leteni vitu vyenye ushahidi na siyo upayukaji tu. Mtalifanya hili jukwaa likose heshima.Tofautisha kuua na kuhusika kijana, hacha kutumia M>A>S>A>B>U>R<I kufikiria
Mimibaba, kuwe kuna ukweli au hakuna ukweli juu ya huu uuaji wa hawa viongozi wawili, yafaa tupewe ushahidi ambao utatufanya tutoke hapa kifua mbele kwenda kuwaambia wengine juu ya huu unyama wa hawa watu. lakini kufanya conclussion kwa kutumia hisia ni pity.Masahihisho, mimi sasa nina miaka 63 sijawahi kunywa pombe, ila nina uhakika walevi hawaogopi kusema ukweli waliona. Na hapa analogy yako si sahihi Mkapa was sober and VJN was sober ni kuwa hatukuwa tayari kusikia taarifa hii kwa kiwango hiki toka kwa watu hawa.
Nakushauri mtoa mada huna haja yakututangazia kutoka kwako CCM. Toka kimya kimya you will not regret.
Akuanzaye mmalize, mhukumu na yule anayejipa mamlaka ya kutambua na kutangaza wazaliwa wa ukoo wa nyerere umkumbushe pia kwamba wazanaki hawali panya!wanasiasa we2 hawajakomaa na cc wananchi hutujajua ni nn wanasiasa wanatakiwa ku2ambia. Cc sote tumepotea.. mfano una kiu ya maji akija mtuu akikudanganya kuwa usipokunywa maji utakuwa tajiri nafikiri utafurahi na kuwa na matumaini hayo , lakini ukweli utabaki palepale kuwa bado utaendelea kuwa na kiu ya maji. Maana yake ni nn mtachagua viongozi kwa ushabiki au kwa kudanganywa na maneno huku uwezo wa kuwaletea maendeleo hawana.. sasa mtu anapiga kampen kwenye jimbo lenye matatizo ya barabara, afya, maji na n.k badala ya kuongelea matatizo yaliyopo anazungumza kuhusu vifo vya watu wengine, huu ni uchochezi.