Deodat
JF-Expert Member
- Sep 18, 2008
- 1,274
- 272
hapo ndipo paliponishinda.......kwa title aliyonayo ninaamini kuna singles kibao ambao wangependa kummiliki......konkyubaini!!!!....nooooo.....sishauri
Tatizo singles hawana pesa!
hapo ndipo paliponishinda.......kwa title aliyonayo ninaamini kuna singles kibao ambao wangependa kummiliki......konkyubaini!!!!....nooooo.....sishauri
all the best Nancy,tuletee baby mzuri kama wewe!!!
Sidhani kama Remtullah ndo baba mtoto mtarajiwa.......hajaoa huyo jamaa,nilisikia Nancy alisema baba watoto ni mume wa mtu.....sasa sijui!!!
Tatizo singles hawana pesa!
Kwani Remtulah ni mwanaume?all the best Nancy,tuletee baby mzuri kama wewe!!!
Sidhani kama Remtullah ndo baba mtoto mtarajiwa.......hajaoa huyo jamaa,nilisikia Nancy alisema baba watoto ni mume wa mtu.....sasa sijui!!!
Ofcoursekuna mwanamke anaitwa Ali?
hongera Nancy...ila kama ni mume wa mtu unakosea bidada....:A S 13:
hapo ndipo paliponishinda.......kwa title aliyonayo ninaamini kuna singles kibao ambao wangependa kummiliki......konkyubaini!!!!....nooooo.....sishauri
hongera Nancy...ila kama ni mume wa mtu unakosea bidada....:A S 13:
Kwani Remtulah ni mwanaume?
Anakosea nini? kwani mume wa mtu hana? kama kapenda mwenyewe na hajabakwa, ni kawaida tu. Tena makabila mengine huwa wanachomeka mkuki wakila mke wa mtu na mume akikuta hivyo na yeye anaenda kuponea kwingine au kwa yule aliyeweka mkuki, kwani mikuki ile hujulikana huu ni wa fulani na huu wafulani.
Mwacheni azae na apendae, sasa kama huyo mume wa mtu kamfikisha na kamkuna inavyotakiwa? kuna ubaya akimzawadia katoto?
Natamani kukikuza hicho kichanga kikiwa bado tumboni.:decision:
I see ,,hongera mama
Kuna jamaa mmoja ni sponsor wake wa siku nyingi mkewe daktari nasikia ndio ngoma yake sishangai akizaa mwanaehongera Nancy...ila kama ni mume wa mtu unakosea bidada....:A S 13: