Goosh!...atatuletea mtoto 0.5mswahili huyu binti yetu!...huh!
Na huyu Ally Remtulla ni mshirika wa kibiashara wa namna gani, maana kwenye picha ya kwanza naona wako kama sio beach basi ni kando ya swimming pool...au ndio hotelini wanayoiendesha kwa ubia kama si usoda!
all the best Nancy,tuletee baby mzuri kama wewe!!!
Sidhani kama Remtullah ndo baba mtoto mtarajiwa.......hajaoa huyo jamaa,nilisikia Nancy alisema baba watoto ni mume wa mtu.....sasa sijui!!!
Tusubiri kiumbe kitakachozaliwa then ukweli utajulikana, manake damu ya kihindi haijifichi. Kuwa karibu na Rehmtulla sio lazima awe ndie mwenye mzigo, anampa "kampani" tu.
hongera Nancy...ila kama ni mume wa mtu unakosea bidada....:A S 13:
Ha ha hahahaah, eti wametungua!Duuu, wametungua tayari, wanaume bwana!
Tusubiri kiumbe kitakachozaliwa then ukweli utajulikana, manake damu ya kihindi haijifichi. Kuwa karibu na Rehmtulla sio lazima awe ndie mwenye mzigo, anampa "kampani" tu.