mimi namsifu sana huyu dada ni mtu amesoma vizuri,ni mchapa kazi nazaidi ni mvumilivu sana na hakati tamaa na hana kinyongo,nilimshuhudia wakati anagombea nyadhifa za chama. big up shyrose. ninasikitika kwa wale wote wanaokuchafua ,waache na wakomeJitahidi uwe papa ule vitu mwanangu, si unajua mkono mtupu haulambwi.
Alikuwa anafanya kazi TBC na kilikuwa kiwanja cha watangazaji pamoja na wa ITV.Zamani alikuwa akipatikana kwa urahisi Maryland Bar pande za Mwenge Dar.
Huyu ni muhindi kavaa Sari vazi la kitamaduni na tumbo huwa wazi.Hivi anashindwa kujiheshimu walau akalificha hilo tumbo?
Hapo kwa red, hebu elaborate zaidi:biggrin1::biggrin1:! Huenda ikamsaidia ttozi bweka kufanya uamuzi sahihi.
mimi namsifu sana huyu dada ni mtu amesoma vizuri,ni mchapa kazi nazaidi ni mvumilivu sana na hakati tamaa na hana kinyongo,nilimshuhudia wakati anagombea nyadhifa za chama. big up shyrose. ninasikitika kwa wale wote wanaokuchafua ,waache na wakome
Hivi anashindwa kujiheshimu walau akalificha hilo tumbo?