Mkali wa Leo
Member
- May 27, 2011
- 85
- 3
uthubutu anao maana kumbuka alishawahi kugombea ilala...kwani shida nn kiongozi ni yule mwenye kuleta maendeleo kwenye jamii na siyo porojo kwani hicho kiwanda cha tangawizikimeishia wp
Kwani Anna kilango si ndiye ameolewa na Yule kikongwe wa dodoma mtera? Kama ndiye yeye hafai
Mkuu umevunja mbavu zangu Kumbe ni Kama tarumbeta tokea zamani nafikiri huko mtera wanaipataNdiye huyo huyo. Namkumbuka enzi zile anaishi Mwananyamala ugomvi na majirani ulikuwa hauishi, alituchosha. Tunamshukuru mzee kwa kumuoa maana sasa tunaishi na kulala muruwaaaa.