mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
hello jf....mko poaa
nimerudi tena...sikujua kama kuachaga mtu nayo ni kazi ingine..ni hivi majuzi kati g/f wangu nilieanza nae tangu 2007 wakat npo chuo..tulipishana usemi, ila mwenzangu ana hasira sana..alipanic akaanza kuporomosha hadi matusi ya nguoni...sh.ga mkubwa,mbw.a,na mengine mpaka nikajiuliza huyu mtu ana digrii ya heshima kweli au ndo madesa coz mimi nilikaa kimya..sikumjibu kitu.....
chanzo:nilikatisha mawasiliano nae tangu dec kwa sababu km izo...baada ya siku 1 kaanza kuomba msamaha,kwamba nimsamehe ananipenda sana ni shetani tu alimpitia...ni msamaha aanawakol my friends wamuombee,hadi mama yake ananipigia ila sijamjibu chochote na sitaki kuwasiliana nae...ikumbukwe tu kwamba hii ni mara ya 3 anarudia kosa hilo hilo..nimeona bora nijitoe mazima...ingawa hakubali kbs kuachika na mimi anadai hataweza kupata km mimi!!...nifanyeje apotee simtaki tenaa
nimerudi tena...sikujua kama kuachaga mtu nayo ni kazi ingine..ni hivi majuzi kati g/f wangu nilieanza nae tangu 2007 wakat npo chuo..tulipishana usemi, ila mwenzangu ana hasira sana..alipanic akaanza kuporomosha hadi matusi ya nguoni...sh.ga mkubwa,mbw.a,na mengine mpaka nikajiuliza huyu mtu ana digrii ya heshima kweli au ndo madesa coz mimi nilikaa kimya..sikumjibu kitu.....
chanzo:nilikatisha mawasiliano nae tangu dec kwa sababu km izo...baada ya siku 1 kaanza kuomba msamaha,kwamba nimsamehe ananipenda sana ni shetani tu alimpitia...ni msamaha aanawakol my friends wamuombee,hadi mama yake ananipigia ila sijamjibu chochote na sitaki kuwasiliana nae...ikumbukwe tu kwamba hii ni mara ya 3 anarudia kosa hilo hilo..nimeona bora nijitoe mazima...ingawa hakubali kbs kuachika na mimi anadai hataweza kupata km mimi!!...nifanyeje apotee simtaki tenaa