Namtakia Maisha Marefu Dk. Wilbroad Peter Slaa (PhD)

Status
Not open for further replies.

Albedo

JF-Expert Member
Feb 24, 2008
5,559
1,452
Ndugu wana JF nimejaribu kungalia katika Safu ya Viongozi Walipata Kutokea katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Namna walivyotimiza majukumu yao katika Kuwatetea Watanzania wote bila kujali Itikadi zao za Dini na makabila

Namna walivyo walivyowatetea Watanzania bila Kujali au kujiwekea Mipaka katika Majimbo ya Uchaguzi

Namna walivyoweza kuhimili Siasa Chafu za CCM na kuweza kujipambanua kama Kimbilio la Watanzania walio wengi

Kiongozi Jasiri, Mwenye Busara, Aliyewahi kutoa Machozi kuwalilia Watanzania wanaoshi katika Hali duni Kimaisha

Kiongozi aliyekuwa na maono na Kiu ya Kuwatumikia Watanzania na kurejesha Usawa ulipotoea katika Jamii ya Watanzania

Huyu si Mwingine bali ni Dr. Wilbroad Peter Slaa ( PhD), Rais wa Waananchi

Mungu Akuzidishie Afya Njema, Akupe Maisha Marefu, Akuongezee Busara na Ujasiri wa Kupigana kwa ajili ya Watanzania walio wengi wasio jua Haki zao za Msingi, Watanzania Wengi walikuamini wakakupa Kura, bado Watanzania wana Imani kubwa sana na Wewe.

Asante Mungu kwa Kutupa Kiongozi huyu Shupavu kuwahi kutokea, Umlinde dhidi ya Wabaya wake maana yeye ni Sauti za Wanyonge na waja wako

Long Live Dr. Slaa (PhD)
 
Naunga mkono, miguu, na kichwa kwa asilimia 1,000. Dr. (PhD) ni kiongozi mwanamapinduzi anayeweza kutuvusha watanzania kutoka kwenye lindi la umaskini hadi kwenye utajiri.
 
Amefanikisha kipi katika hayo mapambano hadi leo?

Ameanza lini hayo mapambano? miaka....

Anapigania nini? a... b...c...

Katika watetezi wa haki Tanzania does Slaa name appear really?

Unajua mnapamba huyo mzee mpaka mnachafua bila kufahamu...

He is nobody dude...just a former priest hooked with women has to leave church then happened to be MP and tried to contest for presidential post backed by church networks ended up with only 26% . On road crying foul play with no clues and evidence (that it short story of the man aged 60+)
 
Amefanikisha kipi katika hayo mapambano hadi leo?

Ameanza lini hayo mapambano? miaka....

Anapigania nini? a... b...c...

Katika watetezi wa haki Tanzania does Slaa name appear really?

Unajua mnapamba huyo mzee mpaka mnachafua bila kufahamu...

He is nobody dude...just a former priest hooked with women has to leave church then happened to be MP and tried to contest for presidential post backed by church networks ended up with only 26% . On road crying foul play with no clues and evidence (that it short story of the man aged 60+)

Nabii hana heshima kwao!
 
Amefanikisha kipi katika hayo mapambano hadi leo?

Ameanza lini hayo mapambano? miaka....

Anapigania nini? a... b...c...

Katika watetezi wa haki Tanzania does Slaa name appear really?

Unajua mnapamba huyo mzee mpaka mnachafua bila kufahamu...

He is nobody dude...just a former priest hooked with women has to leave church then happened to be MP and tried to contest for presidential post backed by church networks ended up with only 26% . On road crying foul play with no clues and evidence (that it short story of the man aged 60+)

mkwe wa Dr. AL Zawahiri ......
 
Amefanikisha kipi katika hayo mapambano hadi leo?

Ameanza lini hayo mapambano? miaka....

Anapigania nini? a... b...c...

Katika watetezi wa haki Tanzania does Slaa name appear really?

Unajua mnapamba huyo mzee mpaka mnachafua bila kufahamu...

He is nobody dude...just a former priest hooked with women has to leave church then happened to be MP and tried to contest for presidential post backed by church networks ended up with only 26% . On road crying foul play with no clues and evidence (that it short story of the man aged 60+)


Michango yake bungeni iliyofichua ufisadi wa RichMond/ Dowans, Meremeta na Deep green, Mikataba mibaya na uonevu wa kunyanganywa ardhi wananchi wa jamii za wafungaji, marupurupu ya wabunge yasiyojali hali halisi ya maisha ya watanzania, kukubali haki yake ikanyagwe na ushindi wake uchukuliwe ili asiwaigize watanzania katika machafuko yaliyokuwa yamepangwa ili kupaka matope wapinzani baada ya kuibiwa kura, kujiepusha na mtego wa udini aliotegewa na genge la wahuni wakiongozwa na Makamba...........................................
 
Amefanikisha kipi katika hayo mapambano hadi leo?

Ameanza lini hayo mapambano? miaka....

Anapigania nini? a... b...c...

Katika watetezi wa haki Tanzania does Slaa name appear really?

Unajua mnapamba huyo mzee mpaka mnachafua bila kufahamu...

He is nobody dude...just a former priest hooked with women has to leave church then happened to be MP and tried to contest for presidential post backed by church networks ended up with only 26% . On road crying foul play with no clues and evidence (that it short story of the man aged 60+)
Topical...

Kama jina lako lilivyo, topical ni superficial, yani watumika locally na hauko systemic... u superficial and that is typical of topical stuff, not to be inhaled/sniffed, injected nor swallowed

Uko sahihi kwa level yako, which represents lots of people in Tanzania who are CCM... umefungwa na na u mfungwa wa mtazamo na maturity

wanasema la kuvunda halina ubani, i dont see you improving in any way...
 
Michango yake bungeni iliyofichua ufisadi wa RichMond/ Dowans, Meremeta na Deep green, Mikataba mibaya na uonevu wa kunyanganywa ardhi wananchi wa jamii za wafungaji, marupurupu ya wabunge yasiyojali hali halisi ya maisha ya watanzania, kukubali haki yake ikanyagwe na ushindi wake uchukuliwe ili asiwaigize watanzania katika machafuko yaliyokuwa yamepangwa ili kupaka matope wapinzani baada ya kuibiwa kura, kujiepusha na mtego wa udini aliotegewa na genge la wahuni wakiongozwa na Makamba...........................................

Michango bungeni...hongera zake...ndio maana nikasema happened to be MP he did good job, vivyo hivyo Ana kilango did, and the like

Mengine hakuna kitu..ni wishes za wapenzi wa cdm
 
Topical...

Kama jina lako lilivyo, topical ni superficial, yani watumika locally na hauko systemic... u superficial and that is typical of topical stuff, not to be inhaled/sniffed, injected nor swallowed

Uko sahihi kwa level yako, which represents lots of people in Tanzania who are CCM... umefungwa na na u mfungwa wa mtazamo na maturity

wanasema la kuvunda halina ubani, i dont see you improving in any way...

Improving is subjective statement dude

Slaa tutamwambia ukweli kumsaidia tu...

Chadema must look for "best presidential" candidate

Slaa will send cdm no where given the qualification and background.

This very topical, really topical issue are discussed

Acheni kumpamba huyu mzee wa miaka 60+

Historia yake na mambo aliyoyafanya TZ is just peanut mkuu...

easy to forget..let him do more feasible and realistic things
 
Improving is subjective statement dude

Slaa tutamwambia ukweli kumsaidia tu...

Chadema must look for "best presidential" candidate

Slaa will send cdm no where given the qualification and background.

This very topical, really topical issue are discussed

Acheni kumpamba huyu mzee wa miaka 60+

Historia yake na mambo aliyoyafanya TZ is just peanut mkuu...

easy to forget..let him do more feasible and realistic things

Come again...? ukishakuwa na hysteria = govi la ubongo the only way to get circumsized is to go back to school or jifunze thru people wenye uelewa, ww una govi la ubongo
 
Improving is subjective statement dude

Slaa tutamwambia ukweli kumsaidia tu...

Chadema must look for "best presidential" candidate

Slaa will send cdm no where given the qualification and background.

This very topical, really topical issue are discussed

Acheni kumpamba huyu mzee wa miaka 60+

Historia yake na mambo aliyoyafanya TZ is just peanut mkuu...

easy to forget..let him do more feasible and realistic things
simpambi sana mkuu... najaribu kumlinganisha tu na JK kwangu yatosha, Dr. Slaa is the first president in our era kudeclare anagonmbea in just six months na kumtoa kamasi rais ambaye amejiandaa since Nyerere was in power, i mean over 20 years ago

that alone is a milestone, let alone making people like you sleepless and shameful of your greedy nature
 
tunakupenda dk slaa tunakuombea maisha marefu na mungu akuoe uzima tunajua iko siku kwa mapenzi yake utishi pale ikulu na utawakemea viongozi wachafu na watakwenda kuoga na watakuwa wasafi iko siku dk slaa vuta subra.
 
Ndugu wana JF nimejaribu kungalia katika Safu ya Viongozi Walipata Kutokea katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Namna walivyotimiza majukumu yao katika Kuwatetea Watanzania wote bila kujali Itikadi zao za Dini na makabila

Namna walivyo walivyowatetea Watanzania bila Kujali au kujiwekea Mipaka katika Majimbo ya Uchaguzi

Namna walivyoweza kuhimili Siasa Chafu za CCM na kuweza kujipambanua kama Kimbilio la Watanzania walio wengi

Kiongozi Jasiri, Mwenye Busara, Aliyewahi kutoa Machozi kuwalilia Watanzania wanaoshi katika Hali duni Kimaisha

Kiongozi aliyekuwa na maono na Kiu ya Kuwatumikia Watanzania na kurejesha Usawa ulipotoea katika Jamii ya Watanzania

Huyu si Mwingine bali ni Dr. Wilbroad Peter Slaa ( PhD), Rais wa Waananchi

Mungu Akuzidishie Afya Njema, Akupe Maisha Marefu, Akuongezee Busara na Ujasiri wa Kupigana kwa ajili ya Watanzania walio wengi wasio jua Haki zao za Msingi, Watanzania Wengi walikuamini wakakupa Kura, bado Watanzania wana Imani kubwa sana na Wewe.

Asante Mungu kwa Kutupa Kiongozi huyu Shupavu kuwahi kutokea, Umlinde dhidi ya Wabaya wake maana yeye ni Sauti za Wanyonge na waja wako

Long Live Dr. Slaa (PhD)



Alberto, umewakilisha watanzania wengi mno plus me kwa post yako hii. Mungu atafanya kitu kwa watanzania kupitia shujaa huyu Dkt (phD) W.P. Slaa.
 
simpambi sana mkuu... najaribu kumlinganisha tu na JK kwangu yatosha

Hawalingani

JK weak and slow learner

Ana sickness ya kuogopa kufanya maamuzi

At least anawapenda wa Tanzania wote

Ni mzalendo kupita Slaa....nimeshazungumza na Slaa mara kibao ofisini kwake kwa kazi zangu lakini

Nimegundua uzalendo wa kibaguzi kwenye kinywani mwake...
 
Come again...? ukishakuwa na hysteria = govi la ubongo the only way to get circumsized is to go back to school or jifunze thru people wenye uelewa, ww una govi la ubongo
easy mkuu... no need kwenda kwenye matusi

topical has no substance and could be MS tripping

easy Mr. President
 
simpambi sana mkuu... najaribu kumlinganisha tu na JK kwangu yatosha, Dr. Slaa is the first president in our era kudeclare anagonmbea in just six months na kumtoa kamasi rais ambaye amejiandaa since Nyerere was in power, i mean over 20 years ago

that alone is a milestone, let alone making people like you sleepless and shameful of your greedy nature

Kama hayo ni mafanikio hongereni

Subirini miaka 10 tu kama sla atakuwepo katika historia yenu.
 
Topical,
kama wewe ni Mtanzania wa ukweli, ipo siku utarudi kwenye mstari..it's a matter of time..utakiri kwa kinywa chako, au maandishi yako kuwa Dr Slaa ni mzalendo, shujaa wa kipekee na mtu mwenye vision hapa Tanzania.
Angalia, akina Maggid imani zimewasuta na sasa wameamua kurudi kundini ili wahesabiwe
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom