Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Ndugu wana JF nimejaribu kungalia katika Safu ya Viongozi Walipata Kutokea katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Namna walivyotimiza majukumu yao katika Kuwatetea Watanzania wote bila kujali Itikadi zao za Dini na makabila
Namna walivyo walivyowatetea Watanzania bila Kujali au kujiwekea Mipaka katika Majimbo ya Uchaguzi
Namna walivyoweza kuhimili Siasa Chafu za CCM na kuweza kujipambanua kama Kimbilio la Watanzania walio wengi
Kiongozi Jasiri, Mwenye Busara, Aliyewahi kutoa Machozi kuwalilia Watanzania wanaoshi katika Hali duni Kimaisha
Kiongozi aliyekuwa na maono na Kiu ya Kuwatumikia Watanzania na kurejesha Usawa ulipotoea katika Jamii ya Watanzania
Huyu si Mwingine bali ni Dr. Wilbroad Peter Slaa ( PhD), Rais wa Waananchi
Mungu Akuzidishie Afya Njema, Akupe Maisha Marefu, Akuongezee Busara na Ujasiri wa Kupigana kwa ajili ya Watanzania walio wengi wasio jua Haki zao za Msingi, Watanzania Wengi walikuamini wakakupa Kura, bado Watanzania wana Imani kubwa sana na Wewe.
Asante Mungu kwa Kutupa Kiongozi huyu Shupavu kuwahi kutokea, Umlinde dhidi ya Wabaya wake maana yeye ni Sauti za Wanyonge na waja wako
Long Live Dr. Slaa (PhD)
Namna walivyotimiza majukumu yao katika Kuwatetea Watanzania wote bila kujali Itikadi zao za Dini na makabila
Namna walivyo walivyowatetea Watanzania bila Kujali au kujiwekea Mipaka katika Majimbo ya Uchaguzi
Namna walivyoweza kuhimili Siasa Chafu za CCM na kuweza kujipambanua kama Kimbilio la Watanzania walio wengi
Kiongozi Jasiri, Mwenye Busara, Aliyewahi kutoa Machozi kuwalilia Watanzania wanaoshi katika Hali duni Kimaisha
Kiongozi aliyekuwa na maono na Kiu ya Kuwatumikia Watanzania na kurejesha Usawa ulipotoea katika Jamii ya Watanzania
Huyu si Mwingine bali ni Dr. Wilbroad Peter Slaa ( PhD), Rais wa Waananchi
Mungu Akuzidishie Afya Njema, Akupe Maisha Marefu, Akuongezee Busara na Ujasiri wa Kupigana kwa ajili ya Watanzania walio wengi wasio jua Haki zao za Msingi, Watanzania Wengi walikuamini wakakupa Kura, bado Watanzania wana Imani kubwa sana na Wewe.
Asante Mungu kwa Kutupa Kiongozi huyu Shupavu kuwahi kutokea, Umlinde dhidi ya Wabaya wake maana yeye ni Sauti za Wanyonge na waja wako
Long Live Dr. Slaa (PhD)