Ikumbilo JF-Expert Member May 14, 2010 456 64 Jul 2, 2011 #1 Ndugu wa JF, nachukua fursa hii kumtafuta ndugu yangu tuliepoteza naye wakati nikiwa Mzinga Morogoro mwanzoni mwa miaka ya 2001. Kama unataarifa zake basi naomba mnisaidie. Natanguliza shukrani. Asante.
Ndugu wa JF, nachukua fursa hii kumtafuta ndugu yangu tuliepoteza naye wakati nikiwa Mzinga Morogoro mwanzoni mwa miaka ya 2001. Kama unataarifa zake basi naomba mnisaidie. Natanguliza shukrani. Asante.
kipipili JF-Expert Member Jul 29, 2009 1,590 183 Jul 2, 2011 #2 Yusufu Makamba alikuwa katibu mkuu wa ccm, kwa sasa anapatikana soni pale tanga namba yake 075505391
Kinyungu JF-Expert Member Apr 6, 2008 17,353 32,990 Jul 2, 2011 #3 kipipili said: Yusufu Makamba alikuwa katibu mkuu wa ccm, kwa sasa anapatikana soni pale tanga namba yake 075505391 Click to expand... Anayetafutwa ni Yusuf Kapanda na siyo Yusuf Makamba mkuu.
kipipili said: Yusufu Makamba alikuwa katibu mkuu wa ccm, kwa sasa anapatikana soni pale tanga namba yake 075505391 Click to expand... Anayetafutwa ni Yusuf Kapanda na siyo Yusuf Makamba mkuu.
Ikumbilo JF-Expert Member May 14, 2010 456 64 Jul 5, 2011 Thread starter #4 Asante kwa kunisaidia,maana nilishituka kidogo kuona ni Makamba tena. Duh,uchakachuaji hadi kwenye majina?
Asante kwa kunisaidia,maana nilishituka kidogo kuona ni Makamba tena. Duh,uchakachuaji hadi kwenye majina?
Lukansola JF-Expert Member Sep 5, 2010 5,435 1,597 Jul 28, 2011 #5 kipipili said: Yusufu Makamba alikuwa katibu mkuu wa ccm, kwa sasa anapatikana soni pale tanga namba yake 075505391 Click to expand... <br /> <br /> 075505391 huu ni mtandao gani? Mbona unaleta utani kwenye vitu serious??????
kipipili said: Yusufu Makamba alikuwa katibu mkuu wa ccm, kwa sasa anapatikana soni pale tanga namba yake 075505391 Click to expand... <br /> <br /> 075505391 huu ni mtandao gani? Mbona unaleta utani kwenye vitu serious??????