Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
Namtafuta sana Suzan wa mbezi alipiga simu katika kipindi cha MIDNIGHT MAGIC usiku saa 6 kipindi kinachoendeshwa na bro chiko siku ya jumanne usiku naomba tuwasiliane kwa email hollymaro@gmail.com
Suzan popote ulipo usikubali kuwasiliana na huyu Shy (Yona Maro), ni balaa, ni bingwa wa kitu inaitwa 'blackmail'. Atakuaibisha hadi utajuta!
Hivi wats blackmailing kwa kiswahili
Namtafuta sana Suzan wa mbezi alipiga simu katika kipindi cha MIDNIGHT MAGIC usiku saa 6 kipindi kinachoendeshwa na bro chiko siku ya jumanne usiku naomba tuwasiliane kwa email hollymaro@gmail.com
Suzan popote ulipo usikubali kuwasiliana na huyu Shy (Yona Maro), ni balaa, ni bingwa wa kitu inaitwa 'blackmail'. Atakuaibisha hadi utajuta!
Allright guys.Kudai malipo kutoka kwa mtu ili usimuweke hadharani kuhusu mambo yake fulani ya siri.
Hope that helps..
Namtafuta sana Suzan wa mbezi alipiga simu katika kipindi cha MIDNIGHT MAGIC usiku saa 6 kipindi kinachoendeshwa na bro chiko siku ya jumanne usiku naomba tuwasiliane kwa email hollymaro@gmail.com
Mkuu,tukumbushe hizo tuhuma,au tusaidie link ya huo uzi..Ndugu yetu Shy, unamtafutia nini huyu Susan wa watu?. Kuna tuhuma dhidi yako ziliwahi kumwagwa humu. Hukuzijibu. Hii inamaana ni kweli, sasa umemsikia Susan na matatizo yake wewe unataka kuyafanya deal?.
Mkuu muhomakilo jrMkuu,tukumbushe hizo tuhuma,au tusaidie link ya huo uzi..
Duu.asante kwa taarifa mkuu..Mkuu muhomakilo jr
hayo ni mambo ya 2008, miaka 9 iliyopita. Si vema na sii haki kukumbushia tuhuma mbaya za mtu ambazo ni za zamani. Tuhuma hizo zilipelekea huyu member kupigwa ban jf na kwa hasira aliachana na jf na kuanzisha forum yake. Hivyo yaliyopita sii ndwele tugange yaliyopo na yajayo.
Paskali
na mituhuma yote hiyo ampate wapi?Ulimpata?