mmmmmmmmmh una miaka 30-34 wewe?View attachment 40501
Bebii huyo ndiyo mimi sifa zote ninazo
kumbe nimeingia chaka eeeh?
kumbe nimeingia chaka eeeh?
mmmmmmmmmh una miaka 30-34 wewe?
sku zile nilikuwa kadogo, sasa nimekua nimeachammmh ulivomkimbia yule dokta siku ile? sijui kwanini ukutuwakilisha mbio za olymic ungetuletea gold nyingi sana hapa nchini loh?
Kipipi unataka kuninyima kitu nini?heheh........hamia Man U atakufikiria!!! BTW, nimemuona Lizzy, kapita hapa muda si mrefu!!
una kilo ngapi? mmmmh huo mwili?
Unachafua CV dadaIla mi wanaume wa humu nawaona kama hawajatulia tulia vile. Lol!
Msinichinje jamani, ni mtazamo tu.
Hapo kwenye Arsenal sawa kwa Simba no!Sitaki maradhi ya moyo mie!
Kesho sherehe za uhuru, hakuna ofisiuje twende kesho
Haya bwana... Anyway, yuko humu humu (si ulisema awe JF?) kama vipi ata ku-PM mwenyewe maana he is serious.mmmmmh kulivo na watoto wa ukweli kule kwao loh nitakufa pressure mie nina wivu balaa