dogo yupo sana tu katika bunge la budget ameuliza maswal mawili moja kwa wazir mkuu,na lingine kwa waziri wa utalii..
ila hakupata nafasi kuchangia buget..na pia jana ametangazwa kwenye baraza kivuli kuwa naibu waziri kivuli wa elimu sayansi na teknolojia..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.