Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,520
Fuata protoko......babu is watching........:nono::nono::nono::nono:
Ooops....shooooorrrrry babu.....I'll be on my Ps and Qs from now on....okay babu?
Fuata protoko......babu is watching........:nono::nono::nono::nono:
Nadhani hiyo retreat itamfaa sana babu maana kama alivyoahidi Mama Big akitoka hapo kila mtu ni Athipirin........, athipirin.............Athipirin.....Athpirin
Hahahaaa Babu naona umeweka extension hapo mweh ........haya bana
I looooove you MwanajamiiOne......
Fuata protoko......babu is watching........:nono::nono::nono::nono:
Aksante Kaka, we love you too..........lol
Ooops....shooooorrrrry babu.....I'll be on my Ps and Qs from now on....okay babu?
Hujambo MJ1....hivi babu mpya na babu wa zamani ni yupi bora?
Tatizo la Babu juzi alipewa nafasi ya kuitumia na hakuitumia ipasavyo akaisha kula kwa macho
Hujambo MJ1....hivi babu mpya na babu wa zamani ni yupi bora?
Mh .....hapa kazi ipo nsipokuwa makini mjukuu ntazeekea nyumbani kwa Babu...........Ngoja nikamate pasiwedi ya kajukuu kwanza....
Hahahahaahah Babu bwana au mlimtisha maana nlishangaa mapemaaaa anaaga jamani mie naishi mbali halafu anaogopa kumtizama Mama Big uson ah.......(Leo ntafinywa na Bibi maana mh)
......roya Babu mpya ndo nani? Lol halafu mie sina Babu mmoja bana .....nyie wote si mababu au?......
......roya Babu mpya ndo nani? Lol halafu mie sina Babu mmoja bana .....nyie wote si mababu au?......
Swali langu halijamlenga yeyote....nauliza tu, babu mpya vs wa zamani yupi bora??:wave:
BTW: Umeona Babuyo anatoa vitisho vya pasiwedi?
Swali langu halijamlenga yeyote....nauliza tu, babu mpya vs wa zamani yupi bora??:wave:
BTW: Umeona Babuyo anatoa vitisho vya pasiwedi?
Hahahahaahah Babu bwana au mlimtisha maana nlishangaa mapemaaaa anaaga jamani mie naishi mbali halafu anaogopa kumtizama Mama Big uson ah.......(Leo ntafinywa na Bibi maana mh)
......roya Babu mpya ndo nani? Lol halafu mie sina Babu mmoja bana .....nyie wote si mababu au?......
Unakumbuka nlishakwambia wewe si ndugu yangu? Siwezi kushea na wewe kwa sababu wewe si ndugu yangu. Sasa mjukuu ni mali yangu peke yangu, huo ubabu unaotaka kujivika wakati wewe si ndugu yangu?
Huyu ni mjukuu wangu na ndugu zangu Teamo, Kaizer, The Finest na Acid. wewe na Kimey si ndugu zetu. Nyie ni mabepari na makabaila, ndugu zake Joji Bushi.
Laiti ungeona alivokuwa ananikonyeza..... Niliogopa kunusishwa bana, umri ushaenda huu. Tatizo mjukuu ulikuwepo, na ulivokuwa kambea habari zingefika kwa bibiyo. Na adhabu za bibiyo si wazijua lakini?
Halafu upande aliokuwa amekaa babu walikuwa wanatizamana uso kwa uso sasa babu yako kila wakati alikuwa anaagalia chini ya meza, Mama Big akaniambia hivi sasa huyu babu ndio staili yake au ndio kumuonea haya mjukuu asije maana babu alikuwa muoga sijui alijua kuwa mjukuu ataenda kumwambia bibi
Unakumbuka nlishakwambia wewe si ndugu yangu? Siwezi kushea na wewe kwa sababu wewe si ndugu yangu. Sasa mjukuu ni mali yangu peke yangu, huo ubabu unaotaka kujivika wakati wewe si ndugu yangu?
Huyu ni mjukuu wangu na ndugu zangu Teamo, Kaizer, The Finest na Acid. wewe na Kimey si ndugu zetu. Nyie ni mabepari na makabaila, ndugu zake Joji Bushi.
Unakumbuka nlishakwambia wewe si ndugu yangu? Siwezi kushea na wewe kwa sababu wewe si ndugu yangu. Sasa mjukuu ni mali yangu peke yangu, huo ubabu unaotaka kujivika wakati wewe si ndugu yangu?
Huyu ni mjukuu wangu na ndugu zangu Teamo, Kaizer, The Finest na Acid. wewe na Kimey si ndugu zetu. Nyie ni mabepari na makabaila, ndugu zake Joji Bushi.