Namtafuta Layla!!

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,212
113,505
Namtafuta dada mmoja hivi anaitwa Layla. Jina lake la mwisho nimelisahau. Huyu dada alisoma Shaaban Robert miaka ya mwanzoni ya tisini halafu akaja akaondoka kwenda Marekani.

Alikuwa anaishi maeneo ya Upanga Seaview karibu na akina Gwamaka Mwaikambo. Mwenye info za alipo nitafute kwenye PM.

Shukrani.
 
Namtafuta dada mmoja hivi anaitwa Layla. Jina lake la mwisho nimelisahau. Huyu dada alisoma Shaaban Robert miaka ya mwanzoni ya tisini halafu akaja akaondoka kwenda Marekani.

Alikuwa anaishi maeneo ya Upanga Seaview karibu na akina Gwamaka Mwaikambo. Mwenye info za alipo nitafute kwenye PM.

Shukrani.
umeomba ruhusa? au ndio mambo ya men are polygamous in nature! lol
 
Namtafuta dada mmoja hivi anaitwa Layla. Jina lake la mwisho nimelisahau. Huyu dada alisoma Shaaban Robert miaka ya mwanzoni ya tisini halafu akaja akaondoka kwenda Marekani.

Alikuwa anaishi maeneo ya Upanga Seaview karibu na akina Gwamaka Mwaikambo. Mwenye info za alipo nitafute kwenye PM.

Shukrani.

Muulize huyo huyo Gwamaka
 
Namtafuta dada mmoja hivi anaitwa Layla. Jina lake la mwisho nimelisahau. Huyu dada alisoma Shaaban Robert miaka ya mwanzoni ya tisini halafu akaja akaondoka kwenda Marekani.

Alikuwa anaishi maeneo ya Upanga Seaview karibu na akina Gwamaka Mwaikambo. Mwenye info za alipo nitafute kwenye PM.

Shukrani.
GWAMAKA yuko in touch na huyu layla,contact gwamaka na atakuunganisha,i could not go any further cause gwamaka wants to know who you are
 
namtafuta dada mmoja hivi anaitwa layla. Jina lake la mwisho nimelisahau. Huyu dada alisoma shaaban robert miaka ya mwanzoni ya tisini halafu akaja akaondoka kwenda marekani.

Alikuwa anaishi maeneo ya upanga seaview karibu na akina gwamaka mwaikambo. Mwenye info za alipo nitafute kwenye pm.

Shukrani.

una bahati umetumia jina la nyuma ya pazia, namjua handler wake, ni baunsa fulani maeneo ya upanga!!!!! Pangechimbika hapa!!!
 
GWAMAKA yuko in touch na huyu layla,contact gwamaka na atakuunganisha,i could not go any further cause gwamaka wants to know who you are

Hehehe sounds like huyo Gwamaka amechukia lol.


una bahati umetumia jina la nyuma ya pazia, namjua handler wake, ni baunsa fulani maeneo ya upanga!!!!! Pangechimbika hapa!!!

Hapo kwenye nyekundu, haijatulia hiyo.
 
Oh i see i haven't been in here for only 2 days!.......cuppy i need some explanation about this now!...
 
Oh i see i haven't been in here for only 2 days!.......cuppy i need some explanation about this now!...

Ooh Cuppy..let your heart not be troubled. You got me on lock. I ain't goin nowhere
 
Then why unamtafuta mtu wa high school...je na mimi nimtafute wangu?...Unajua na mimi nilikuwa na crush na mtu hahahaha primary school.

Oh Cuppy....I was just lost....I was actually looking for you.

What do you have on today, Cuppy? Low cut jeans and heels?
 
Oh Cuppy....I was just lost....I was actually looking for you.

You lying cuppy!...how?inamaana nimekuwa baptized na jina la Leyla now?....

No cuppy leo siyo friday siwezi kuvaa low cut jeans ila i nimevaa jessica simpson shoe 4 inches high...and a french connection dress pant.


What do you have on today, Cuppy? Low cut jeans and heels
 
Then why unamtafuta mtu wa high school...je na mimi nimtafute wangu?...Unajua na mimi nilikuwa na crush na mtu hahahaha primary school.

Nilijua tu hii itafikia hapa - wapi wapambe mtie fitna hapa, masanilo,msanii, balantanda, fidel80, msanii jamani fanyeni fitna hapa.
 
Nilijua tu hii itafikia hapa - wapi wapambe mtie fitna hapa, masanilo,msanii, balantanda, fidel80, msanii jamani fanyeni fitna hapa.

And why is that?!..Fitina ya nini?....huwezi kuingilia wapendao...that is straight up boooooooooo!.
 
Back
Top Bottom