Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,212
- 113,505
Namtafuta dada mmoja hivi anaitwa Layla. Jina lake la mwisho nimelisahau. Huyu dada alisoma Shaaban Robert miaka ya mwanzoni ya tisini halafu akaja akaondoka kwenda Marekani.
Alikuwa anaishi maeneo ya Upanga Seaview karibu na akina Gwamaka Mwaikambo. Mwenye info za alipo nitafute kwenye PM.
Shukrani.
Alikuwa anaishi maeneo ya Upanga Seaview karibu na akina Gwamaka Mwaikambo. Mwenye info za alipo nitafute kwenye PM.
Shukrani.