miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,967
mimi hapa .
Mkuu, tegemea ujio mwingine kwa jumapili hii.
Mkuu inawezekana ulimwomba mungu akuoneshe mke kakuonesha, muombe tena akukutanishe nae,mtakutana. Muombe awaongoze katika mapenzi ya kweli (Japo sina hakika kama aliyaumba) na awajalie muwe na furaha tele na familia bora. Ila usiache kwenda kanisani.
Ndio maana kwenye iman yetu tunaambiwa tusali mbalilimbali, mkuu siku hiyo hukumuomba Mungu kabisa. Ulitingwa na mawazo ya kishetani, POLE
Kama usharika wako ni huo na humfahamu yawezekana ni mgeni au jini so be care.
Utupe mrejesho ukimpata.
mimi hapa .
ha aahaha nilikuwa sina usafiri nilipanda daladalaOk ni PM ilikua usharika gan na ulikua una drive usafiri gan hyo jana. Definitely ntajua ur real. Lol
ha aahaha nilikuwa sina usafiri nilipanda daladala
Habari,
Kuna dada mmoja mkarimu na anaonekana mtaratibu mno namtafuta mazingira haya kuruhusu kupata contacts zake.
Tulikutana leo kanisani jumatano ya majivu....usharika flan lutheran nlichelewa kdgo nikaja nikaketi bench moja na ww (la pili kutoka mwisho kama sikosei)
Nilivaa shati mikono mifupi (a mix of blue & white ) wit dark blue jeans wit sandals. Jamani huyu mdada ki ukweli uongo dhambi ameniteka nikatokea kupendezwa nae na kutamani kuwasiliana nae zaidi na kujenga urafiki.
Ulivaa some sort of a dark blue shirt/top na greenish sandals...u have a samsung galaxy na a red pouch kwenye bench ulijifunga mtandio (a green one)...tukiwa church nikakusisitiza sanaa uchukue karatasi yenye mafunzo ya utoaji zaka na dhabihu (sadaka) but ukasema sio tatzo if ningebaki na ile karatasi tulizopewa church.
Daah kama upo huku nitafute plz. Nakumbuka uliniaga getini ukiwa unaondoka...nilitingwa na watu nikajikuta nashindwa kuchukua mawasiliano yako. Daamn !!!
Masikini ya Mungu hata jina hukuniambia...
Ok ni PM ilikua usharika gan na ulikua una drive usafiri gan hyo jana. Definitely ntajua ur real. Lol
mkuu vumilia mpaka jumapili sio mbali, ila kama ndo mgeni alitoka mkoani imekula kwako. laumu udomo zege wako
akiri yako haipo sawa maana kuna sehemu ulisema ulimuona hata nje
Sio kesi kiongozi, all the bestSoma upya thread yangu kwa umakini.