Namtafuta huyu dada kwa nguvu zote

Habari,

Kuna dada mmoja mkarimu na anaonekana mtaratibu mno namtafuta mazingira haya kuruhusu kupata contacts zake.

Tulikutana leo kanisani jumatano ya majivu....usharika flan lutheran nlichelewa kdgo nikaja nikaketi bench moja na ww (la pili kutoka mwisho kama sikosei)

Nilivaa shati mikono mifupi (a mix of blue & white ) wit dark blue jeans wit sandals. Jamani huyu mdada ki ukweli uongo dhambi ameniteka nikatokea kupendezwa nae na kutamani kuwasiliana nae zaidi na kujenga urafiki.

Ulivaa some sort of a dark blue shirt/top na green sandals...u have a samsung galaxy na a red pouch kwenye bench ulijifunga mtandio (a green one)...tukiwa church nikakusisitiza sanaa uchukue karatasi yenye mafunzo ya utoaji zaka na dhabihu (sadaka) but ukasema sio tatzo if ningebaki na ile karatasi tulizopewa church.

Daah kama upo huku nitafute plz. Nakumbuka uliniaga getini ukiwa unaondoka...nilitingwa na watu nikajikuta nashindwa kuchukua mawasiliano yako. Daamn !!!

Masikini ya Mungu hata jina hukuniambia...
Pole boss jitahidi uwe unakwendaa kanisa hilo mungu atakuwa amekuita usali
 
Bahati haiji Mara mbili..
Huwa naamini mara ya kwanza ni coincidence, ikirudia tena it is a gift. kukaa karibu nae it was not planned, hakumuona kabla ya kukaa, alimuona baada ya kukaa. Ikaja tokea tena mazingira yakafanana na haya popote pale mkajikuta tena pamoja katika mazingira yasiyo pangwa. Hapo hakuna kutongoza, uliza swali moja tu, umeolewa? akisema la, basi unamalizia kulikobaki mwenye.
 
Mkuu inawezekana ulimwomba mungu akuoneshe mke kakuonesha, muombe tena akukutanishe nae,mtakutana. Muombe awaongoze katika mapenzi ya kweli (Japo sina hakika kama aliyaumba) na awajalie muwe na furaha tele na familia bora. Ila usiache kwenda kanisani.
 
Habari,

Kuna dada mmoja mkarimu na anaonekana mtaratibu mno namtafuta mazingira haya kuruhusu kupata contacts zake.

Tulikutana leo kanisani jumatano ya majivu....usharika flan lutheran nlichelewa kdgo nikaja nikaketi bench moja na ww (la pili kutoka mwisho kama sikosei)

Nilivaa shati mikono mifupi (a mix of blue & white ) wit dark blue jeans wit sandals. Jamani huyu mdada ki ukweli uongo dhambi ameniteka nikatokea kupendezwa nae na kutamani kuwasiliana nae zaidi na kujenga urafiki.

Ulivaa some sort of a dark blue shirt/top na green sandals...u have a samsung galaxy na a red pouch kwenye bench ulijifunga mtandio (a green one)...tukiwa church nikakusisitiza sanaa uchukue karatasi yenye mafunzo ya utoaji zaka na dhabihu (sadaka) but ukasema sio tatzo if ningebaki na ile karatasi tulizopewa church.

Daah kama upo huku nitafute plz. Nakumbuka uliniaga getini ukiwa unaondoka...nilitingwa na watu nikajikuta nashindwa kuchukua mawasiliano yako. Daamn !!!

Masikini ya Mungu hata jina hukuniambia...
Ndio maana kwenye iman yetu tunaambiwa tusali mbalilimbali, mkuu siku hiyo hukumuomba Mungu kabisa. Ulitingwa na mawazo ya kishetani, POLE
 
Huwa naamini mara ya kwanza ni coincidence, ikirudia tena it is a gift. kukaa karibu nae it was not planned, hakumuona kabla ya kukaa, alimuona baada ya kukaa. Ikaja tokea tena mazingira yakafanana na haya popote pale mkajikuta tena pamoja katika mazingira yasiyo pangwa. Hapo hakuna kutongoza, uliza swali moja tu, umeolewa? akisema la, basi unamalizia kulikobaki mwenye.
Sasa halo kwenye kumpata tena ndo kimbembe.. Utakuta Jamaa kwenda kanisani kwa manati
 
Habari,

Kuna dada mmoja mkarimu na anaonekana mtaratibu mno namtafuta mazingira haya kuruhusu kupata contacts zake.

Tulikutana leo kanisani jumatano ya majivu....usharika flan lutheran nlichelewa kdgo nikaja nikaketi bench moja na ww (la pili kutoka mwisho kama sikosei)

Nilivaa shati mikono mifupi (a mix of blue & white ) wit dark blue jeans wit sandals. Jamani huyu mdada ki ukweli uongo dhambi ameniteka nikatokea kupendezwa nae na kutamani kuwasiliana nae zaidi na kujenga urafiki.

Ulivaa some sort of a dark blue shirt/top na green sandals...u have a samsung galaxy na a red pouch kwenye bench ulijifunga mtandio (a green one)...tukiwa church nikakusisitiza sanaa uchukue karatasi yenye mafunzo ya utoaji zaka na dhabihu (sadaka) but ukasema sio tatzo if ningebaki na ile karatasi tulizopewa church.

Daah kama upo huku nitafute plz. Nakumbuka uliniaga getini ukiwa unaondoka...nilitingwa na watu nikajikuta nashindwa kuchukua mawasiliano yako. Daamn !!!

Masikini ya Mungu hata jina hukuniambia...
"...Kama kaolewa je...?"
 
Huwa naamini mara ya kwanza ni coincidence, ikirudia tena it is a gift. kukaa karibu nae it was not planned, hakumuona kabla ya kukaa, alimuona baada ya kukaa. Ikaja tokea tena mazingira yakafanana na haya popote pale mkajikuta tena pamoja katika mazingira yasiyo pangwa. Hapo hakuna kutongoza, uliza swali moja tu, umeolewa? akisema la, basi unamalizia kulikobaki mwenye.

Hahahaha nimeipenda. Daah ni kweli aisee.
 
Back
Top Bottom