Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 14,976
Ndo unachofanyaga hicho..Jehanamu inabidi iongezwe ukubwa..Wafuasi mnaongezeka kwa kasiHizo style zinahusika sana, halafu unajikuta hata kusali husali, mida yote unaangaza macho kutafuta mlupo.
Ndo unachofanyaga hicho..Jehanamu inabidi iongezwe ukubwa..Wafuasi mnaongezeka kwa kasiHizo style zinahusika sana, halafu unajikuta hata kusali husali, mida yote unaangaza macho kutafuta mlupo.
Siyo vyote ving'aavyo ni dhahabu. Who told you this! au ni pete ndo ukaconfirm
Ndo unachofanyaga hicho..Jehanamu inabidi iongezwe ukubwa..Wafuasi mnaongezeka kwa kasi
Pole boss jitahidi uwe unakwendaa kanisa hilo mungu atakuwa amekuita usaliHabari,
Kuna dada mmoja mkarimu na anaonekana mtaratibu mno namtafuta mazingira haya kuruhusu kupata contacts zake.
Tulikutana leo kanisani jumatano ya majivu....usharika flan lutheran nlichelewa kdgo nikaja nikaketi bench moja na ww (la pili kutoka mwisho kama sikosei)
Nilivaa shati mikono mifupi (a mix of blue & white ) wit dark blue jeans wit sandals. Jamani huyu mdada ki ukweli uongo dhambi ameniteka nikatokea kupendezwa nae na kutamani kuwasiliana nae zaidi na kujenga urafiki.
Ulivaa some sort of a dark blue shirt/top na green sandals...u have a samsung galaxy na a red pouch kwenye bench ulijifunga mtandio (a green one)...tukiwa church nikakusisitiza sanaa uchukue karatasi yenye mafunzo ya utoaji zaka na dhabihu (sadaka) but ukasema sio tatzo if ningebaki na ile karatasi tulizopewa church.
Daah kama upo huku nitafute plz. Nakumbuka uliniaga getini ukiwa unaondoka...nilitingwa na watu nikajikuta nashindwa kuchukua mawasiliano yako. Daamn !!!
Masikini ya Mungu hata jina hukuniambia...
Huwa naamini mara ya kwanza ni coincidence, ikirudia tena it is a gift. kukaa karibu nae it was not planned, hakumuona kabla ya kukaa, alimuona baada ya kukaa. Ikaja tokea tena mazingira yakafanana na haya popote pale mkajikuta tena pamoja katika mazingira yasiyo pangwa. Hapo hakuna kutongoza, uliza swali moja tu, umeolewa? akisema la, basi unamalizia kulikobaki mwenye.Bahati haiji Mara mbili..
Ndiyo maana uchumi wa Tanzania unazidi kudorora!!mamtu hayaendi kusali siku hizi. kazi kutafuta mademu tu.
For kutafuta mke mwemaWTF ....and you were in the church ...??? For what ?
Misa ya usikuKwaresma hii ndugu, utakutana naye siku ya pasaka.
Ndio maana kwenye iman yetu tunaambiwa tusali mbalilimbali, mkuu siku hiyo hukumuomba Mungu kabisa. Ulitingwa na mawazo ya kishetani, POLEHabari,
Kuna dada mmoja mkarimu na anaonekana mtaratibu mno namtafuta mazingira haya kuruhusu kupata contacts zake.
Tulikutana leo kanisani jumatano ya majivu....usharika flan lutheran nlichelewa kdgo nikaja nikaketi bench moja na ww (la pili kutoka mwisho kama sikosei)
Nilivaa shati mikono mifupi (a mix of blue & white ) wit dark blue jeans wit sandals. Jamani huyu mdada ki ukweli uongo dhambi ameniteka nikatokea kupendezwa nae na kutamani kuwasiliana nae zaidi na kujenga urafiki.
Ulivaa some sort of a dark blue shirt/top na green sandals...u have a samsung galaxy na a red pouch kwenye bench ulijifunga mtandio (a green one)...tukiwa church nikakusisitiza sanaa uchukue karatasi yenye mafunzo ya utoaji zaka na dhabihu (sadaka) but ukasema sio tatzo if ningebaki na ile karatasi tulizopewa church.
Daah kama upo huku nitafute plz. Nakumbuka uliniaga getini ukiwa unaondoka...nilitingwa na watu nikajikuta nashindwa kuchukua mawasiliano yako. Daamn !!!
Masikini ya Mungu hata jina hukuniambia...
Ndio misa ya usiku ndio yenyewe.Misa ya usiku
Sasa halo kwenye kumpata tena ndo kimbembe.. Utakuta Jamaa kwenda kanisani kwa manatiHuwa naamini mara ya kwanza ni coincidence, ikirudia tena it is a gift. kukaa karibu nae it was not planned, hakumuona kabla ya kukaa, alimuona baada ya kukaa. Ikaja tokea tena mazingira yakafanana na haya popote pale mkajikuta tena pamoja katika mazingira yasiyo pangwa. Hapo hakuna kutongoza, uliza swali moja tu, umeolewa? akisema la, basi unamalizia kulikobaki mwenye.
"...Kama kaolewa je...?"Habari,
Kuna dada mmoja mkarimu na anaonekana mtaratibu mno namtafuta mazingira haya kuruhusu kupata contacts zake.
Tulikutana leo kanisani jumatano ya majivu....usharika flan lutheran nlichelewa kdgo nikaja nikaketi bench moja na ww (la pili kutoka mwisho kama sikosei)
Nilivaa shati mikono mifupi (a mix of blue & white ) wit dark blue jeans wit sandals. Jamani huyu mdada ki ukweli uongo dhambi ameniteka nikatokea kupendezwa nae na kutamani kuwasiliana nae zaidi na kujenga urafiki.
Ulivaa some sort of a dark blue shirt/top na green sandals...u have a samsung galaxy na a red pouch kwenye bench ulijifunga mtandio (a green one)...tukiwa church nikakusisitiza sanaa uchukue karatasi yenye mafunzo ya utoaji zaka na dhabihu (sadaka) but ukasema sio tatzo if ningebaki na ile karatasi tulizopewa church.
Daah kama upo huku nitafute plz. Nakumbuka uliniaga getini ukiwa unaondoka...nilitingwa na watu nikajikuta nashindwa kuchukua mawasiliano yako. Daamn !!!
Masikini ya Mungu hata jina hukuniambia...
Huwa naamini mara ya kwanza ni coincidence, ikirudia tena it is a gift. kukaa karibu nae it was not planned, hakumuona kabla ya kukaa, alimuona baada ya kukaa. Ikaja tokea tena mazingira yakafanana na haya popote pale mkajikuta tena pamoja katika mazingira yasiyo pangwa. Hapo hakuna kutongoza, uliza swali moja tu, umeolewa? akisema la, basi unamalizia kulikobaki mwenye.