Namtafuta Asha Dii.....!!!!!

ehhh pole we!!! yuko mkoa wa singida kijiji cha mgongo kata ya shelui wilaya ya iramba kaolewa na mfanyabiashara maarufu wa mafuta ya alizeti mke wa tatu Anapika na kupakuwa marojorojo c unajua huu mwenzi una neema zake.ntakupeleka hadi getini kwao yaaan pazuri weweeeee!
 
ehhh pole we!!! yuko mkoa wa singida kijiji cha mgongo kata ya shelui wilaya ya iramba kaolewa na mfanyabiashara maarufu wa mafuta ya alizeti mke wa tatu Anapika na kupakuwa marojorojo c unajua huu mwenzi una neema zake.ntakupeleka hadi getini kwao yaaan pazuri weweeeee!

Wewe mtoto mbea!
 
Pombekali si unajua siku hizi watoto wanapatikana mbali sana
licha ya hivyo sometimes kuna bed rest nyingine zinafikia hata miezi tisa
najua atakuja tu hofu no kabisa mkuu.

Hatukatai, sasa ndo aondoke kimya kimya? hajui watu kama Bishanga walikuwa na malengo nae mazuri tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom